juhudi za wasiojiweza
HELLOW!!! WELCOME THIS IS AMAxc THE GLOBAL MEDIA AND NEWS SUPPLIERS!!! amaxc.blogspot.com
Popular Posts
-
Duh hii ni aibu kwelikweli kuona msomi ambaye anategemewa kama kiongozi wa kesho kufanya mambo ya ajabu namna hii .. haya ni ...
-
Hii ni picha ya moja kati ya wanachuo msichana akiwa hosteli na ..demu huyo sio siri anawachanganya wengi chuo hapo ikiwemo ma lectur....
-
Mrembo mwenye ushawishi mkubwa zaidi kwenye social media hapa Bongo, ambaye alishawahi kujinyakulia taji kubwa zaidi la ulimbwende hapa Bon...
-
Ikiwa leo ndio Uchaguzi wabunge wa Viti Maalum Kupitia Chama cha Mapinduzi Nchini katika Mkoa wa Singida Mgombea Wema Sepe...
-
Hz n baadh ya pcha za shilole akiwa na boy wake!! wakiwa kweny mapoz ya mahab ***** { clik here to see the video wakiwa wanaoga ...
-
john pombe magufuli Edward Ngoyai Lowassa. Uchunguzi uliofanywa na Timu ya Uwazi Mizengwe hivi karibuni na kuihusisha mikoa yote ya Ta...
-
Mwanamke aliye bambwa na sungusungu akifanya mapenzi kwenye kichaka na dereva wa teksi.Richard Bukos na Issa Mnally Mwanam...
-
Hzi n baadhi ya pcha za mastaa tofauti w KIKE hapa tz . sio siri n balaa coz sometmes najiuliza ! do they ril care???? ? ...
-
Kutoka kutangaza kutafuta mume Instagram hadi kukiri kumpenda Uhuru Kenyatta, Ray C anaendelea kutengeneza vichwa vya habari Afrika Masharik...
-
Blogu ya Wananchi Wednesday, August 19, 2015 TUJIKUMBUSHE HABARI KAMILI YA KAMATI TEULE YA BUNGE YA RICHMOND TAARIFA HII HAPA LIVE YA MWAKA ...
Wednesday 18 May 2022
Saturday 22 October 2016
amaxc blog: the blog is still in perfomance
[image_0
what do you understand from the above photo!! can you give it a caption!!!!
what do you understand from the above photo!! can you give it a caption!!!!
Thursday 20 October 2016
amaxc blog: download amaxc blog application and have the news on your hand
I am sending you this application that you may be interested.
http://www.androidcreator.com/app197354..the application's icon has a photo of a korean super actor(lee min ho)
http://www.androidcreator.com/app197354..the application's icon has a photo of a korean super actor(lee min ho)
Sunday 7 August 2016
amaxc blog: yajue mambo matano(5) muhimu wakat wa tendo la ndoa
swala la mapenz siku hizi limeonekana kuwa na uzito sana kwa pande zote mbili...nikimaanisha walioko kweny ndoa na pia wasio kweny ndoa....mbali na hilo kume kuwa na maswali mengi vichwani mwa watu kuhusu ni vitu gani hasa vifanyike wakat wa tendo la ndoa. leo naenda kuelezea ni vitu vipi vifanyike na vipi viepukike wakat wa ndoa.
Monday 25 July 2016
amaxc blog:* busu ambalo ADELE alimpiga kijana wa NIGERIA..stejini...ndo habari ya mjini..jionee ilivyo kuwa
Adele amemsuprise kijana mwenye miaka 21 kutoka Nigeria kwenye show yake ya Vancouver, Canada.
adele-165279
Kijana huyo anayetumia jina la Wisdom kwenye mtandao wa Snapchat alijikuta akikosa la kuongea baada ya kujikuta akiwa juu ya steji huku mbele yake akiwa amesimama na hitmaker wa ‘Hello’.
Nigerian-man-with-Adele
Adele alimbusu kijana huyo na kisha alitania kwa kusema, “Oh my god, I haven’t been kissed by another man in like six years! He just snogged me!”
Tazama video hapa
Friday 22 July 2016
CHID BENZ afunguka mazito kuhusu joh makini na ney wa mitego.......hatareeeee
Rapper Chidi Benz amefunguka kwa kusema kuwa hakuna msanii wa Hip Hop ambaye amefikia mafanikio yake huku akidai Joh Makini na Nay wa Mitego wametengenezwa ili waje kulishika game la muziki.
Akiongea na Uhuru FM Alhamisi hii, Chidi Benz amedai mpaka sasa hakuna msanii ambaye ameweza kufanikiwa na kufikia mafanikio ambayo aliyafikia katika kipindi cha nyuma.
“Sijamsikia yule mtu ambaye anafanya matukio kama mimi, yakuwa na msafara wa gari kumi, kusafiri kwenye show na watu 30, ukasikia watu 7 wamezimia kwenye show, bado sijawai kusikia matukio kama hayo labda bwana Joh Makini amefanya show Arusha wakazimia watu 9?,” alisema Chidi Benz.
“Lakini nawasikia hao, kama Joh Makini namsikia na namuona kwenye muziki huu the way wametengeneza yeye ndo awe ameshika hili game, lakini hana nguvu, sisemi hivyo kama namblock hapana, hata mashabiki wake ambao wananisikiliza wamwambie nakubali hapo alipo na watu wamekutengeneza wewe ukae pale na hauna nguvu yakusema mimi ni Joh Makini, najua ni msanii mzuri lakini mimi ni The King Kong,”
Aliongeza, “Kwa hiyo wapo wasanii wengi wametengenezwa, mfano Nay wa Mitego pia, ni kitu fulani kimetengenezwa. Shetta hafadhali toka ameanza kutoka alikuwa anatengenezwa ili afanye game yake,”
Rapper huyo kwa sasa anafanya poa na wimbo wake mpya ‘Chuma’ aliyomshirikisha msanii kutoka WCB, Raymond.
Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to Facebook
Subscribe to:
Posts (Atom)