[image_0
what do you understand from the above photo!! can you give it a caption!!!!
what do you understand from the above photo!! can you give it a caption!!!!
HELLOW!!! WELCOME THIS IS AMAxc THE GLOBAL MEDIA AND NEWS SUPPLIERS!!! amaxc.blogspot.com
swala la mapenz siku hizi limeonekana kuwa na uzito sana kwa pande zote mbili...nikimaanisha walioko kweny ndoa na pia wasio kweny ndoa....mbali na hilo kume kuwa na maswali mengi vichwani mwa watu kuhusu ni vitu gani hasa vifanyike wakat wa tendo la ndoa. leo naenda kuelezea ni vitu vipi vifanyike na vipi viepukike wakat wa ndoa.Adele amemsuprise kijana mwenye miaka 21 kutoka Nigeria kwenye show yake ya Vancouver, Canada.
adele-165279
Kijana huyo anayetumia jina la Wisdom kwenye mtandao wa Snapchat alijikuta akikosa la kuongea baada ya kujikuta akiwa juu ya steji huku mbele yake akiwa amesimama na hitmaker wa ‘Hello’.
Nigerian-man-with-Adele
Adele alimbusu kijana huyo na kisha alitania kwa kusema, “Oh my god, I haven’t been kissed by another man in like six years! He just snogged me!”
Tazama video hapa


