Popular Posts

Monday 31 August 2015

amaxc blog:mama mzazi wa zari ametembelea ikulu kwa ze superstar &mkali waoo!!! platnumzzzz jioneee photozzz here

Mtoto Latiffah Nassib a.k.a Princess Tiffah anazidi kuongeza ukaribu kati ya familia za wazazi wake,
Diamond pamoja na Zari. Takribani wiki tatu baada ya Zari kujifungua, mama yake mzazi amefunga safari kuja Tanzania kumsalimia binti yake pamoja na kumuona mjukuu wake.
Mama yake Zari akiwa amembeba Tiffah Zari ameshare picha ya mama yake akiwa amemtambelea nyumbani kwa Diamond akiwa amembeba Tiffah na kuandika; “Good morning, tag someone your blessed to have in your life. Here is my mom and my daughter”

amaxc blog: kevin de bruyne kavunja rekodi ya raheem sterling!!! man city!!!(jionee pchazzzzz)

Klabu ya Manchester City ya Uingereza ambayo ilikuwa ni moja kati ya vilabu vingi vilivyo kuwa vikihusishwa na kumsajili kiungo mshambuliaji wa kimataifa wa Ubelgiji na klabu ya Vfl Wolfsburg ya Ujerumani Kevin De Bruyne, August 30 imetangaza kumsajili rasmi.
Kevin-De-Bruyne-signs-for-Manchester-City De Bruyne ambaye ana umri wa miaka 24 alisajiliwa muda mchache baada ya kufanyiwa vipimo vya afya, amejiunga katika klabu hiyo kwa mkataba wa miaka sita, Kuwasili Etihad kwa Kevin De Bruyne kunaweka rekodi mpya ya klabu hiyo kwani ndio atakuwa mchezaji wa gharama zaidi katika klabu hiyo.
PAY-Kevin-De-Bruyne-signs-for-Manchester-City (1) De Bruyne amejiunga na Man City kwa ada ya uhamisho wa pound milioni 54 na kuvunja rekodi ya usajili wa klabu hiyo kwani kabla ya kuwasili klabuni hapo, Raheem Sterling ndio alikuwa mchezaji aliyesajiliwa kwa pesa nyingi zaidi, dau la pound milioni 49 lilitosha kumtoa Liverpool na kumleta Etihad.
Kevin-De-Bruyn-on-his-way-to-Manchester-from-Germany Uhamisho wa kiungo huyo wa kibelgiji bado unakuwa haujavunja rekodi ya usajili ya wachezaji Uingereza kwani hadi sasa Man United ndio klabu pekee ambayo bado inashikilia rekodi ya usajili kwa dau kubwa baada ya kutumia pound milioni 59.7 kumleta Angel di Maria akitokea Real Madrid ya Hispania msimu uliopita

amaxc blog:haya hapa magazeti yote ya leo jumatatu 31/08/2015!!!! jionee yaliyo jili magazetin leooooo!!!

habar ya asubuhi mtu wangu!!!! n kutoka mwanza tz tayar nmekusogezea magazet yote ya leo bongo!!! jioneee hard news, udaku,michezo,siasa na nyngnezo nyngi!!!!kaz n kwako ndg!!!
*****thnkz alot mtu wangu!!! stay tuned to amaxc blog!!! ili uweze kupat updates nyng!!!!

Sunday 30 August 2015

amaxc blog: siku 3 kabla ya dirisha la usajili kufungwa!!!!! neymar amefunguka haya kuhusu kuhamia man united....

Michezo Siku 3 kabla usajili kufungwa – Neymar ameyasema haya kuhusu kujiunga na Man United Yakiwa yamebakia masaa takribani 72 kabla ya dirisha la usajili barani ulaya kufungwa, winga wa kibrazil Neymar ambaye amekuwa akihusishwa na kujiunga na Man United hatimaye ametoa kauli yake.
Akizungumza baada ya mchezo wa ushindi wa 1-0 wa Barcelona dhidi ya Malaga, Neymar alisema: ‘Ningependa na nataka kuendelea kubaki Barcelona, haijalishi ofa ya mamilioni mangapi ya paundi kutoka England,’ aliiambia TV3. ‘Watu wangu wa Barca wanaweza kutulia na kuwa na amani. ‘Pale ninaposikia tetesi za kuhama kwangu, huwa sifikirii chochote. Huwa nasikiliza kisha naendelea na shughuli zangu. Nina furaha sana kuwepo Barca na wachezaji wenzangu.’
Neymar, 23, anatarajia kuongezewa mkataba wa miaka 5 huku akiwa kipengele cha kuuzwa endapo timu inayomtaka italipa kiasi cha €250million (£182m).

Saturday 29 August 2015

amaxc blog: abiria apigwa risasi kweny daladala jijini dar!!!! siri nzito yafichuka....

CLOUD MWANANCHI 
*** Mtu mmoja amefariki dunia na mwingine kujeruhiwa wakati watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi waliposimamisha daladala eneo la Jangwani na kuingia ndani kupora mkoba unaosadikiwa kuwa na fedha. Watu hao, waliokuwa na pikipiki aina ya boxer, walikuwa wakifuatilia basi hilo linalofanya safari zake kati ya Kariakoo na Mwenge na kulisimamisha eneo la Jangwani saa 7.30 mchana na baadaye kuwaamuru abiria wote wainame kabla ya kuelekea kiti cha nyuma alikokuwa amekaa mtu huyo aliyekuwa amebeba mkoba. Mmoja wa abiria wa daladala hilo, Rehema Michael alisema wakati basi lao likiwa linaenda taratibu, alimuona mtu aliyekuwa amepakizwa kwenye pikipiki akishuka na kumfuata dereva na kisha kumuelekezea bastola usoni, akimtaka asimamishe gari. Alisema dereva wao alitaka kukunja kona kuelekea Jangwani, lakini akatii amri na ndipo dereva wa bodaboda alipokwenda nyuma ya daladala na kumtaka mmoja wa abiria aliyekuwa amekaa nyuma ya daladala kutoa begi, huku mwingine akipiga risasi hewani, lakini hakupewa mkoba huo. “Baada ya kuona yule abiria anakaidi agizo lao, mmoja wa majambazi hao alimpiga risasi ya kichwani na kifuani na kuanguka chini huku yule abiria mwenzake ambaye alipewa begi hilo alishike alilitupa chini na mmoja wa majambazi aliingia ndani ya daladala na kulichukua,” Hashim Ally. Shuhuda mwingine, Richard Urio alisema wakati uvamizi huo ukitokea abiria walikuwepo ndani ya daladala hiyo akiwemo konda walilazimika kulala chini baada ya kusikia milio ya risasi zilizokuwa zikipigwa hewani, na kwamba baada ya kuchukua lile begi walimpiga risasi abiria mwingine ambaye alikuwa karibu na marehemu baada kuhisi alikuwa akizuia begi lisitolewe. “Siti ya nyuma walikuwa wamekaa abiria wanne, na wawili kati yao walikuwa wamasai ambao mmoja wapo alikuwa amevaa begi mgongoni ambalo lilichukuliwa na majambazi baada ya kumuua mmoja wa wamasai huku mwingine akijeruhiwa na bastola shavuni,”Urio. Shuhuda mwingine, Regina Mateso alisema yeye alipanda daladala hiyo eneo la Shakilango na kuwakuta wamasai hao ambao inasemakana walikuwa na fedha nyingi kutokana na maongezi yao. “Wale wamasai walikuwa wanapigiana mahesabu na wapi kwa kwenda kubadilisha fedha. Yule aliyefariki alikuwa anamwambia mwenzake ukibadilisha hizi dola unapata Sh16 milioni, hivyo inawezekana wale abiria walikuwa na kiasi hicho cha fedha ambacho walikuwa wameweka katika begi la mgongoni,” Mateso. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Polisi Ilala, Lucas Mkondya alisema tukio hilo limetokea na wanalifanyia kazi . “Na sisi polisi tumelipata sasa hivi ndio kwanza tunalifanyia kazi likikamilika tutatia taarifa,” Mkonya

amaxc blog: da origin of my tribe!!! (kurya~~wanchari-- tribe)!!

The Wakuria are composed of clans and subclans and down to families. All clans have established a system that group all people of the same age by the circumsion ritual. The age groups are called SAROs. In the last issue we discussed the importance of the SAROs and their role in the Wakuria culture. Wanchari are one of the Kuria clans. They are located south of Sirari (Isibania) neighbouring with the Wakira on the north east and Wagumbe on the north, Watimbaru on the South and Luo on the west. Their land(Kyaro)is called Bunchari. Initially Wanchari lived on a hill called Susuni and later spread to Mwema. Susuni is their sacred hill where the Wanchari god (Sabure) reside. All circumsion ceremonies and rituals are conducted at Susuni where the Mosali also live. Since Wanchari settled at Susuni they have conducted 31 saros. By countingthe number of saros and time interval between each saro and consulting elders who are knowledgable on the matter, the first remembered saro was done in 1856 and it was named Kehanga. The list below show remembered (verbally recorded) saros of the Wanchari. The calculation is based on approx. 4 years period between one saro and the other. SARO YEAR 
31 Mesongo 2008 
30 Nginaro 2004 
29 Ngiborya2000
 28 Gichira 1996 
27 Romole II1992 
26 Romole I1988
 25 Kehocha II1984
 24 Kehocha I1980
 23 Ngirabi II1976
 22 Ngirabi I1972 
21 Getang'osa II1968 
20 Getang'osa I1964 
19 Kehanga II1959
 18 Kehanga I1954
 17 Gitira 1949 
16 Ngeresa 1944 
15 Kenya 1938 
14 Bhirisi 1932 
13 Keha 1928
 12 Kalamu 1922 
11 Nyisandeko1916
 10 Mesongo 1910
 9 Nginaro 1904 
8 Romole 1898 
7 Kehocha 1892
 6 Ngirabi 1886
 5 Gichira 1880 
4 Ngiborya1874 
3 Getang'osa1868
 2 Mahanga 1862 
1 Kehanga 1856 In the next issue we will discuss how Wakuria name their newbrns (Children)

amaxc blog: ninayo ratiba ya ligi kuu uingereza na hispania august 29 and 30!!!! jionee mtu wangu!!

Magazeti Ninayo ratiba ya Ligi Kuu Uingereza na Hispania ya August 29 na 30 mtu wangu….. Ligi Kuu mbili zinazopendwa zaidi ukanda wa Afrika Mashariki Ligi Kuu Hispania na Uingereza August 29 na 30 kuna michezo kadhaa inapigwa katika viwanja tofauti Hispania na Uingereza . Nakusogeza na ratiba za mechi zote za Laliga na EPL za weekend hii mtu wangu wa nguvu.
Fixtures Hii ni ya Ligi Kuu Uingereza mtu wa 1.
Huu ni muda wa mechi za Ligi Kuu Uingereza kwa saa za Afrika Mashariki 1.Newcastle Vs Arsenal 14:45 2.Aston Villa Vs Sunderland 17:00 3.Bournemouth Vs Leicester 17:00 4.Chelsea Vs Crystal Palace 17:00 5.Liverpool Vs West Ham 17:00 6.Man City Vs Watford 17:00 7.Stoke Vs West Brom 17:00 8. Tottenham Vs Everton 19:30 Jumamosi August 30 9.Southampton Vs Norwich 15:30 10. Swansea Vs Man Utd 18:00 Hii ni ratiba ya Ligi Kuu Hispania Mtu wangu 2
Huu ni muda wa mechi hizo kwa saa za Afrika Mashariki mtu wangu 1.Real Sociedad Vs Sporting de Gijón 19:00 2.Barcelona Vs Málaga 21:30 3.Celta de Vigo Vs Rayo Vallecano 23:00 5.Real Madrid Vs Real Betis 23:30

amaxc blog: kimenuka zile stories kuwa tiffah si mtoto wa platnunz zimeibuka upya!!!!! zari aitwa kwao....

Zarinah Hassan ‘Zari’ (mama Tiffah). Mwandishi wetu KIMENUKA! Baada ya madai kwamba mtoto Latifah ‘Tiffah’ si damu ya Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ huku shemeji wa zamani wa Zarinah Hassan ‘Zari’ (mama Tiffah), King Lawrence naye kusema mtoto huyo ni wake, kuna taarifa mpya zinazodai kuwa, Zari ameitwa kwao, Uganda ili akamalize ubishi juu ya suala hilo, Risasi Jumamosi limenasa mchapo kamili. Hivi karibuni baada ya Zari kujifungua, King Lawrence alijitokeza na kudai kuwa, mtoto huyo ni wake na kusema kama kuna anayebisha kiitishwe kipimo cha vinasaba (DNA), hivyo kuibua mkanganyiko na taarifa zilizozagaa awali kuwa, mtoto huyo ni wa aliyekuwa mume wa Zari, Ivan Ssemwanga.