HELLOW!!! WELCOME THIS IS AMAxc THE GLOBAL MEDIA AND NEWS SUPPLIERS!!! amaxc.blogspot.com
Popular Posts
-
Duh hii ni aibu kwelikweli kuona msomi ambaye anategemewa kama kiongozi wa kesho kufanya mambo ya ajabu namna hii .. haya ni ...
-
Hii ni picha ya moja kati ya wanachuo msichana akiwa hosteli na ..demu huyo sio siri anawachanganya wengi chuo hapo ikiwemo ma lectur....
-
Mrembo mwenye ushawishi mkubwa zaidi kwenye social media hapa Bongo, ambaye alishawahi kujinyakulia taji kubwa zaidi la ulimbwende hapa Bon...
-
Ikiwa leo ndio Uchaguzi wabunge wa Viti Maalum Kupitia Chama cha Mapinduzi Nchini katika Mkoa wa Singida Mgombea Wema Sepe...
-
Hz n baadh ya pcha za shilole akiwa na boy wake!! wakiwa kweny mapoz ya mahab ***** { clik here to see the video wakiwa wanaoga ...
-
john pombe magufuli Edward Ngoyai Lowassa. Uchunguzi uliofanywa na Timu ya Uwazi Mizengwe hivi karibuni na kuihusisha mikoa yote ya Ta...
-
Mwanamke aliye bambwa na sungusungu akifanya mapenzi kwenye kichaka na dereva wa teksi.Richard Bukos na Issa Mnally Mwanam...
-
Hzi n baadhi ya pcha za mastaa tofauti w KIKE hapa tz . sio siri n balaa coz sometmes najiuliza ! do they ril care???? ? ...
-
Kutoka kutangaza kutafuta mume Instagram hadi kukiri kumpenda Uhuru Kenyatta, Ray C anaendelea kutengeneza vichwa vya habari Afrika Masharik...
-
Blogu ya Wananchi Wednesday, August 19, 2015 TUJIKUMBUSHE HABARI KAMILI YA KAMATI TEULE YA BUNGE YA RICHMOND TAARIFA HII HAPA LIVE YA MWAKA ...
Tuesday 18 August 2015
amaxc blog: Man City na Valencia wamefikia hapa kuhusu usajili wa Nicolas Otamendi...
Michezo
Man City na Valencia wamefikia hapa kuhusu usajili wa Nicolas Otamendi
Klabu ya Manchester City ya Uingereza bado inaendelea kusajili kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Uingereza kwani baada ya kuhusishwa kwa muda mrefu kumtaka beki wa kati wa kimataifa wa Argentina anayeichezea klabu ya Valencia ya Hispania Nicolas Otamendi wamefikia makubaliano.
Nicolas Otamendi huenda akatua katika jiji la Manchester wakati wowote kuanzia hivi sasa baada ya kuachwa na Valencia katika kikosi kitakachokutana na Monaco katika mchezo wa kwanza wa mtoano wa UEFA August 19, vyombo vya habari vingi vinaripoti staa huyo aliyejiunga na Valencia akitokea FC Porto ya Ureno 2014 atajiunga na Man City wakati wowote kuanzia hivi sasa.
Hata hivyo mpango huo wa kumsajili Nicolas Otamendi kwenda Man City umefikia makubaliano kwani klabu ya Man City imekubali kulipa pound milioni 31.7 kama ada ya uhamisho ya nyota huyo ila katika makubaliano hayo pia inamuhitaji Eliaquim Mangala kwa mkopo kama sehemu ya kukamilisha uhamisho wa Nicolas Otamendi kwa mujibu wa vyombo vingi vya habari vya Hispania.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment