HELLOW!!! WELCOME THIS IS AMAxc THE GLOBAL MEDIA AND NEWS SUPPLIERS!!! amaxc.blogspot.com
Popular Posts
-
Duh hii ni aibu kwelikweli kuona msomi ambaye anategemewa kama kiongozi wa kesho kufanya mambo ya ajabu namna hii .. haya ni ...
-
Hii ni picha ya moja kati ya wanachuo msichana akiwa hosteli na ..demu huyo sio siri anawachanganya wengi chuo hapo ikiwemo ma lectur....
-
Mrembo mwenye ushawishi mkubwa zaidi kwenye social media hapa Bongo, ambaye alishawahi kujinyakulia taji kubwa zaidi la ulimbwende hapa Bon...
-
Ikiwa leo ndio Uchaguzi wabunge wa Viti Maalum Kupitia Chama cha Mapinduzi Nchini katika Mkoa wa Singida Mgombea Wema Sepe...
-
Hz n baadh ya pcha za shilole akiwa na boy wake!! wakiwa kweny mapoz ya mahab ***** { clik here to see the video wakiwa wanaoga ...
-
john pombe magufuli Edward Ngoyai Lowassa. Uchunguzi uliofanywa na Timu ya Uwazi Mizengwe hivi karibuni na kuihusisha mikoa yote ya Ta...
-
Mwanamke aliye bambwa na sungusungu akifanya mapenzi kwenye kichaka na dereva wa teksi.Richard Bukos na Issa Mnally Mwanam...
-
Hzi n baadhi ya pcha za mastaa tofauti w KIKE hapa tz . sio siri n balaa coz sometmes najiuliza ! do they ril care???? ? ...
-
Kutoka kutangaza kutafuta mume Instagram hadi kukiri kumpenda Uhuru Kenyatta, Ray C anaendelea kutengeneza vichwa vya habari Afrika Masharik...
-
Blogu ya Wananchi Wednesday, August 19, 2015 TUJIKUMBUSHE HABARI KAMILI YA KAMATI TEULE YA BUNGE YA RICHMOND TAARIFA HII HAPA LIVE YA MWAKA ...
Thursday 27 August 2015
amaxc blog: huu n mpango wa fc barcelona kuhusu neymar kuhamia man united!!!!!
Michezo
Hii ni mipango ya FC Barcelona kuhusu Neymar kuhamia Man United
Klabu ya Manchester United bado inasaka nyota kadhaa watakaojiunga na kikosi chao ili kuweza kuongeza nguvu na kucheza kwa kiwango cha juu. Man United ambayo kwa hivi karibuni ilimkosa Pedro Rodriguez baada ya kocha wa Chelsea Jose Mourinho kumpigia simu na kumshawishi ajiungea na Chelsea.
***Sasa Man United wamerudi tena katika klabu ya FC Barcelona ila safari hii wanahitaji kumsajili nyota ambaye wengi wanaamini hawezi kuuzwa kipindi hiki. Inaripotiwa na vyombo vingi vya habari Uingereza kuwa Man United wanataka kumsajili Neymar na wametenga kiasi cha pound milioni 240 ili kumpata nyota huyo.
Stori zilizopo kwa sasa FC Barcelona wanajiandaa kumpatia Neymar mkataba mpya wa miaka mitano wenye thamani ya pound milioni 182, Mkataba ambao utamuweka Neymar Nou Camp hadi mwaka 2023. Mkataba wa Neymar wa sasa utamalizika mwaka 2018.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment