HELLOW!!! WELCOME THIS IS AMAxc THE GLOBAL MEDIA AND NEWS SUPPLIERS!!! amaxc.blogspot.com
Popular Posts
-
Duh hii ni aibu kwelikweli kuona msomi ambaye anategemewa kama kiongozi wa kesho kufanya mambo ya ajabu namna hii .. haya ni ...
-
Hii ni picha ya moja kati ya wanachuo msichana akiwa hosteli na ..demu huyo sio siri anawachanganya wengi chuo hapo ikiwemo ma lectur....
-
Mrembo mwenye ushawishi mkubwa zaidi kwenye social media hapa Bongo, ambaye alishawahi kujinyakulia taji kubwa zaidi la ulimbwende hapa Bon...
-
Ikiwa leo ndio Uchaguzi wabunge wa Viti Maalum Kupitia Chama cha Mapinduzi Nchini katika Mkoa wa Singida Mgombea Wema Sepe...
-
Hz n baadh ya pcha za shilole akiwa na boy wake!! wakiwa kweny mapoz ya mahab ***** { clik here to see the video wakiwa wanaoga ...
-
john pombe magufuli Edward Ngoyai Lowassa. Uchunguzi uliofanywa na Timu ya Uwazi Mizengwe hivi karibuni na kuihusisha mikoa yote ya Ta...
-
Mwanamke aliye bambwa na sungusungu akifanya mapenzi kwenye kichaka na dereva wa teksi.Richard Bukos na Issa Mnally Mwanam...
-
Hzi n baadhi ya pcha za mastaa tofauti w KIKE hapa tz . sio siri n balaa coz sometmes najiuliza ! do they ril care???? ? ...
-
Kutoka kutangaza kutafuta mume Instagram hadi kukiri kumpenda Uhuru Kenyatta, Ray C anaendelea kutengeneza vichwa vya habari Afrika Masharik...
-
Blogu ya Wananchi Wednesday, August 19, 2015 TUJIKUMBUSHE HABARI KAMILI YA KAMATI TEULE YA BUNGE YA RICHMOND TAARIFA HII HAPA LIVE YA MWAKA ...
Friday 21 August 2015
amaxc blog: mfahamu mnyama mzito kuliko wote duniani!!!!
NYANGUMI WA BLUU AU the blue whale ni mnyama aishie baharini na ana urefu wa mita 30 na uzito wa kilo hadi 201,000 au tani 210 na zaidi,ni mnyama mkubwa na mzito kuliko yeyote aliyewahi kutokea duniani.
HAYA NI MAMBO MATANO UNATAKIWA UYAJUE KUHUSIANA NA MNYAMA HUYU mkubwa duniani.
1:NYANGUMI WA blue alikuwa anapatikana karibu katika bahari zote duniani mpaka mwanzoni mwa karne ya 20,ambapo walianza kuwindwa na wawindaji haramu mpaka jumuia ya kimataifa ilipoamua kulinda WANYAMA HAO mwaka 1966.
2:NYANGUMI WA BLUE hula zaidi wanyama wadogo wa baharini wanaoitwa KRILL_na nyangumi mmoja hula zaidi ya Krill milioni 40 kwa siku_hivyo inabidi waishi katika maendeo yenye msongamamo mkubwa wa wanyama hao
3:NYANGUMI JIKE HUZAA MTOTO MMOJA KILA BAADA YA miaka miwili au Mitatu…na mototo wa nyangumi akizaliwa huwa na uzito wa tani 3 na urefu wa mita 7_na hunyonya maziwa ya mama yake lita 500 na zaidi au gallon 150 kwa siku
4:Wanasayansi wanakadiria kuwa NYANGUMI WA BLUE huishi hadi miaka miaka 80
5:UZITO WA ULIMI wa nyangumi wa blue ni sawa na uzito wa tembo mmoja
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment