HELLOW!!! WELCOME THIS IS AMAxc THE GLOBAL MEDIA AND NEWS SUPPLIERS!!! amaxc.blogspot.com
Popular Posts
-
Duh hii ni aibu kwelikweli kuona msomi ambaye anategemewa kama kiongozi wa kesho kufanya mambo ya ajabu namna hii .. haya ni ...
-
Hii ni picha ya moja kati ya wanachuo msichana akiwa hosteli na ..demu huyo sio siri anawachanganya wengi chuo hapo ikiwemo ma lectur....
-
Mrembo mwenye ushawishi mkubwa zaidi kwenye social media hapa Bongo, ambaye alishawahi kujinyakulia taji kubwa zaidi la ulimbwende hapa Bon...
-
Ikiwa leo ndio Uchaguzi wabunge wa Viti Maalum Kupitia Chama cha Mapinduzi Nchini katika Mkoa wa Singida Mgombea Wema Sepe...
-
Hz n baadh ya pcha za shilole akiwa na boy wake!! wakiwa kweny mapoz ya mahab ***** { clik here to see the video wakiwa wanaoga ...
-
john pombe magufuli Edward Ngoyai Lowassa. Uchunguzi uliofanywa na Timu ya Uwazi Mizengwe hivi karibuni na kuihusisha mikoa yote ya Ta...
-
Mwanamke aliye bambwa na sungusungu akifanya mapenzi kwenye kichaka na dereva wa teksi.Richard Bukos na Issa Mnally Mwanam...
-
Hzi n baadhi ya pcha za mastaa tofauti w KIKE hapa tz . sio siri n balaa coz sometmes najiuliza ! do they ril care???? ? ...
-
Kutoka kutangaza kutafuta mume Instagram hadi kukiri kumpenda Uhuru Kenyatta, Ray C anaendelea kutengeneza vichwa vya habari Afrika Masharik...
-
Blogu ya Wananchi Wednesday, August 19, 2015 TUJIKUMBUSHE HABARI KAMILI YA KAMATI TEULE YA BUNGE YA RICHMOND TAARIFA HII HAPA LIVE YA MWAKA ...
Tuesday 18 August 2015
amaxc blog: man united na real madrid zko mbion kufany biashara flan hv....!!!jionee photozzz
Michezo
Real Madrid na Man United za karibia kufanya biashara
Klabu ya Real Madrid ya Hispania na Manchester United kuna kila dalili za kufikia makubaliano ya kuuziana wachezaji, kwa muda mrefu sasa kumekuwa na mazungumzo na mvutano kuhusu golikipa wa Man United David de Gea kujiunga na Real Madrid ya Hispania kwani walishindwa kufikia makubaliano.
Awali kulikuwa na utata wa Man United kugoma kumuachia golikipa huyo kwani walikuwa wanataka uhamisho wa David de Gea uhusishwe na uhamisho wa Sergio Ramos kujiunga Man United kabla ya beki huyo kuamua kuongeza mkataba mpya na Klabu yake ya awali ya Real Madrid.
Ila taarifa zilizotoka August 18 zinadai kuwa klabu ya Man United imekubali yaishe na iko radhi kumuachia golikipa huyo David de Gea mwenye asili ya Hispania, pamoja na kocha wa Man United Louis van Gaal kuagiza bodi kumuuza golikipa huyo kwani akili yake ipo Real Madrid na yeye hamuhitaji katika kikosi chake.
Man United haitaki kumuachia kirahisi golikipa huyo kwani imekubali kumuuza kwa Real Madrid ila inahitaji pound milioni 28 ili iweze kumuachi golikipa huyo huku Real Madrid ikihangaika kuhakikisha mpango huo unafanikiwa kwa kuwapa golikipa wake Keylor Antonio Navas ili kupunguza ada hiyo kwani walikuwa wanamuhitaji miezi 12 iliopita wakati akiwa katika klabu ya Levante kabla hajajiunga na Real Madrid
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment