HELLOW!!! WELCOME THIS IS AMAxc THE GLOBAL MEDIA AND NEWS SUPPLIERS!!! amaxc.blogspot.com
Popular Posts
-
Duh hii ni aibu kwelikweli kuona msomi ambaye anategemewa kama kiongozi wa kesho kufanya mambo ya ajabu namna hii .. haya ni ...
-
Hii ni picha ya moja kati ya wanachuo msichana akiwa hosteli na ..demu huyo sio siri anawachanganya wengi chuo hapo ikiwemo ma lectur....
-
Mrembo mwenye ushawishi mkubwa zaidi kwenye social media hapa Bongo, ambaye alishawahi kujinyakulia taji kubwa zaidi la ulimbwende hapa Bon...
-
Ikiwa leo ndio Uchaguzi wabunge wa Viti Maalum Kupitia Chama cha Mapinduzi Nchini katika Mkoa wa Singida Mgombea Wema Sepe...
-
Hz n baadh ya pcha za shilole akiwa na boy wake!! wakiwa kweny mapoz ya mahab ***** { clik here to see the video wakiwa wanaoga ...
-
john pombe magufuli Edward Ngoyai Lowassa. Uchunguzi uliofanywa na Timu ya Uwazi Mizengwe hivi karibuni na kuihusisha mikoa yote ya Ta...
-
Mwanamke aliye bambwa na sungusungu akifanya mapenzi kwenye kichaka na dereva wa teksi.Richard Bukos na Issa Mnally Mwanam...
-
Hzi n baadhi ya pcha za mastaa tofauti w KIKE hapa tz . sio siri n balaa coz sometmes najiuliza ! do they ril care???? ? ...
-
Kutoka kutangaza kutafuta mume Instagram hadi kukiri kumpenda Uhuru Kenyatta, Ray C anaendelea kutengeneza vichwa vya habari Afrika Masharik...
-
Blogu ya Wananchi Wednesday, August 19, 2015 TUJIKUMBUSHE HABARI KAMILI YA KAMATI TEULE YA BUNGE YA RICHMOND TAARIFA HII HAPA LIVE YA MWAKA ...
Friday 21 August 2015
amaxc blog: hawa ndo wachezaji 22 wa taifa stars watakao weka kambi uturuki!!!!.
Michezo
Hawa ndio wachezaji 22 wa Taifa Stars watakaokwenda kuweka kambi Uturuki
Kocha wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars Charles Boniface Mkwasa August 21 ametangaza kikosi cha wachezaji 22 watakaosafiri kwenda kuweka kambi ya siku 8 Istanbul Uturuki. Mkwasa ametangaza kikosi hicho ambacho kila mchezaji aliyeitwa anatakiwa kuripoti saa 5 asubuhi siku ya Jumapaili August 23 tayari kwa safari usiku wake.
Taifa Stars inakwenda kuweka kambi Uturuki kwa ajili ya kujiandaa na mechi ya kuwania kucheza AFCON 2017, mechi ambayo itachezwa Septemba 5 Uwanja wa Taifa Dar Es Salaam, orodha hiyo ya wachezaji 22 imetangazwa kutoka katika kikosi cha awali kilichotangazwa wiki mbili mbili nyuma.
Wachezaji waliochaguliwa ni
All Mustafa (Yanga SC)
Aishi Manula (Azam FC)
Said Mohamed (Mtibwa Sugar)
Shomari Kapombe (Azam FC)
Abdi Banda (Simba SC)
Mohamed Hussein (Simba SC)
Hassan Isihaka (Simba SC)
Juma Abdul (Yanga SC).
Haji Mngwali (Yanga SC).
Kelvin Yondani (Yanga SC).
Nadir Haroub (Yanga SC).
DSC_0021
Mudathir Yahya (Azam FC)
Himid Mao (Azam FC)
Frank Domayo (Azam FC)
Salum Telela (Yanga SC)
Deus Kaseke (Yanga SC)
Said Ndemla (Simba SC)
John Bocco (Azam FC)
Farid Musa (Azam FC)
Rashid Mandawa (Mwadui FC)
Simon Msuva (Yanga SC)
Ibrahim Ajib (Simba SC)
Taifa Stars inatarajiwa kuondoka jumapili usiku kwa usafiri wa shirika la ndege la Uturuki (Turkish Airlines), na kufika Jumatatu asubuhi jijini Istanbul, ambapo timu itaelekea katika mji wa Kocael ambapo itaweka kambi ya wiki moja katika hoteli ya Green Park Kartepe
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment