HELLOW!!! WELCOME THIS IS AMAxc THE GLOBAL MEDIA AND NEWS SUPPLIERS!!! amaxc.blogspot.com
Popular Posts
-
Duh hii ni aibu kwelikweli kuona msomi ambaye anategemewa kama kiongozi wa kesho kufanya mambo ya ajabu namna hii .. haya ni ...
-
Hii ni picha ya moja kati ya wanachuo msichana akiwa hosteli na ..demu huyo sio siri anawachanganya wengi chuo hapo ikiwemo ma lectur....
-
Mrembo mwenye ushawishi mkubwa zaidi kwenye social media hapa Bongo, ambaye alishawahi kujinyakulia taji kubwa zaidi la ulimbwende hapa Bon...
-
Ikiwa leo ndio Uchaguzi wabunge wa Viti Maalum Kupitia Chama cha Mapinduzi Nchini katika Mkoa wa Singida Mgombea Wema Sepe...
-
Hz n baadh ya pcha za shilole akiwa na boy wake!! wakiwa kweny mapoz ya mahab ***** { clik here to see the video wakiwa wanaoga ...
-
john pombe magufuli Edward Ngoyai Lowassa. Uchunguzi uliofanywa na Timu ya Uwazi Mizengwe hivi karibuni na kuihusisha mikoa yote ya Ta...
-
Mwanamke aliye bambwa na sungusungu akifanya mapenzi kwenye kichaka na dereva wa teksi.Richard Bukos na Issa Mnally Mwanam...
-
Hzi n baadhi ya pcha za mastaa tofauti w KIKE hapa tz . sio siri n balaa coz sometmes najiuliza ! do they ril care???? ? ...
-
Kutoka kutangaza kutafuta mume Instagram hadi kukiri kumpenda Uhuru Kenyatta, Ray C anaendelea kutengeneza vichwa vya habari Afrika Masharik...
-
Blogu ya Wananchi Wednesday, August 19, 2015 TUJIKUMBUSHE HABARI KAMILI YA KAMATI TEULE YA BUNGE YA RICHMOND TAARIFA HII HAPA LIVE YA MWAKA ...
Wednesday 19 August 2015
amaxc blog: hv ndivyo anavyo amini rafaeli benitez kuhusu kiwango cha gareth balle!!!! jionee hapa maneno hayoo!!!
Michezo
Anachokiamini Rafael Benitez kuhusu kiwango cha Gareth Balle
Kocha wa klabu ya Real Madrid ya Hispania Rafael Benitez ameamua kuingilia kati ishu inayoendelea kati ya mshambuliaji wa kimataifa wa Wales Gareth Bale na mashabiki ambao wamekuwa wakipiga kelele na kumzomea kufuatia kiwango cha chini wanachokiona akicheza.
Chelsea-Rafael-Benitez
Rafael Benitez ameamua kumtetea staa huyo baada ya ushindi walioupata wa goli 2-1 katika mechi ya kirafiki kati ya Real Madrid dhidi ya klabu ya Galatasaray ya Uturuki siku ya Jumanne kwani mashabiki wa timu hiyo wanaamini staa huyo hafanyi vizuri kwa sasa na anacheza chini ya kiwango.
1802772_heroa
Kufuatia maamuzi ya Benitez kumchezesha katikati staa huyo mwenye umri wa miaka 26 amekuwa na wakati mgumu wa kufanya vizuri katika kikosi hicho cha Santiago Bernabeu. Bale alianza kupata wakati mgumu kwa mashabiki wa klabu hiyo toka msimu wa 2014/2015.
Bale ambaye ameifungia Real Madrid magoli 13 katika mechi 31 za Laliga alikuwa pia ana uhusishwa kujiunga na klabu ya Man United ya Uingereza kabla ya taarifa kutoka katika klabu ya Real Madrid kuwa klabu hiyo haipo radhi kumruhusu winga huyo ahame ila Benitez bado anaamini nyota huyo atakuwa atafanya vizuri katika msimu wa 2015/2016.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment