HELLOW!!! WELCOME THIS IS AMAxc THE GLOBAL MEDIA AND NEWS SUPPLIERS!!! amaxc.blogspot.com
Popular Posts
-
Duh hii ni aibu kwelikweli kuona msomi ambaye anategemewa kama kiongozi wa kesho kufanya mambo ya ajabu namna hii .. haya ni ...
-
Hii ni picha ya moja kati ya wanachuo msichana akiwa hosteli na ..demu huyo sio siri anawachanganya wengi chuo hapo ikiwemo ma lectur....
-
Mrembo mwenye ushawishi mkubwa zaidi kwenye social media hapa Bongo, ambaye alishawahi kujinyakulia taji kubwa zaidi la ulimbwende hapa Bon...
-
Ikiwa leo ndio Uchaguzi wabunge wa Viti Maalum Kupitia Chama cha Mapinduzi Nchini katika Mkoa wa Singida Mgombea Wema Sepe...
-
Hz n baadh ya pcha za shilole akiwa na boy wake!! wakiwa kweny mapoz ya mahab ***** { clik here to see the video wakiwa wanaoga ...
-
john pombe magufuli Edward Ngoyai Lowassa. Uchunguzi uliofanywa na Timu ya Uwazi Mizengwe hivi karibuni na kuihusisha mikoa yote ya Ta...
-
Mwanamke aliye bambwa na sungusungu akifanya mapenzi kwenye kichaka na dereva wa teksi.Richard Bukos na Issa Mnally Mwanam...
-
Hzi n baadhi ya pcha za mastaa tofauti w KIKE hapa tz . sio siri n balaa coz sometmes najiuliza ! do they ril care???? ? ...
-
Kutoka kutangaza kutafuta mume Instagram hadi kukiri kumpenda Uhuru Kenyatta, Ray C anaendelea kutengeneza vichwa vya habari Afrika Masharik...
-
Blogu ya Wananchi Wednesday, August 19, 2015 TUJIKUMBUSHE HABARI KAMILI YA KAMATI TEULE YA BUNGE YA RICHMOND TAARIFA HII HAPA LIVE YA MWAKA ...
Tuesday 25 August 2015
amaxc blog: majibu ya ivo mapunda kuhusiana na taulo lake jeupe linalo husishwa na imani ya kishirikina!!!! duh jionee mwenyew
Michezo
Majibu ya Ivo Mapunda kuhusu taulo lake jeupe linalo husishwa na imani za kishirikina
Golikipa mkongwe katika soka la Tanzania ambaye ana historia ya kucheza vilabu kadhaa Tanzania na nje ya mipaka ya Tanzania Ivo Mapunda amekuwa na tabia ya kuingia uwanjani na taulo jeupe ambalo tumewahi kuliona mara kadhaa likileta hali ya sinto fahamu kwa wachezaji wa timu pinzani na hata muamuzi wakati mwingine.
Ivo amekuwa na utamaduni ambao kwetu ni mgeni kidogo kwani tumezoea kuona makipa wa Ulaya pekee ndio watu ambao huwa wanaingia na taulo uwanjani kwa ajili ya kujifutia jasho, ugeni wa kitendo hicho kimekuwa kikileta utata kwa wachezaji timu pinzani wakiamini kwani hawafungi goli kutokana na uwepo wa taulo la Ivo nyavuni.
Team ya amaxc ilipata nafasi ya kufanya exclusive interview na kipa huyo ambaye utamaduni wa kutumia taulo jeupe wakati wa mechi amekuja nao wakati akitokea Kenya, ni kwa nini Ivo anatumia taulo jeupe? linaongeza chochote kuweza kumsaidia asifungwe
“Taulo halihusiani hata kidogo na mimi kuweza kucheza vizuri au kucheza vibaya uwanjani, taulo ni kitu ambacho magolikipa ulaya hutumia wakati wanapojifuta jasho au mvua kunyesha, ila kwa hapa wamekuwa na imani potofu kwa watu hata nilipokuwa Kenya ila mimi baada ya kuona wachezaji pinzani wanaathirika kisaikolojia ndio maana nalitumia”>>> Ivo Mapunda
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment