HELLOW!!! WELCOME THIS IS AMAxc THE GLOBAL MEDIA AND NEWS SUPPLIERS!!! amaxc.blogspot.com
Popular Posts
-
Duh hii ni aibu kwelikweli kuona msomi ambaye anategemewa kama kiongozi wa kesho kufanya mambo ya ajabu namna hii .. haya ni ...
-
Hii ni picha ya moja kati ya wanachuo msichana akiwa hosteli na ..demu huyo sio siri anawachanganya wengi chuo hapo ikiwemo ma lectur....
-
Mrembo mwenye ushawishi mkubwa zaidi kwenye social media hapa Bongo, ambaye alishawahi kujinyakulia taji kubwa zaidi la ulimbwende hapa Bon...
-
Ikiwa leo ndio Uchaguzi wabunge wa Viti Maalum Kupitia Chama cha Mapinduzi Nchini katika Mkoa wa Singida Mgombea Wema Sepe...
-
Hz n baadh ya pcha za shilole akiwa na boy wake!! wakiwa kweny mapoz ya mahab ***** { clik here to see the video wakiwa wanaoga ...
-
john pombe magufuli Edward Ngoyai Lowassa. Uchunguzi uliofanywa na Timu ya Uwazi Mizengwe hivi karibuni na kuihusisha mikoa yote ya Ta...
-
Mwanamke aliye bambwa na sungusungu akifanya mapenzi kwenye kichaka na dereva wa teksi.Richard Bukos na Issa Mnally Mwanam...
-
Hzi n baadhi ya pcha za mastaa tofauti w KIKE hapa tz . sio siri n balaa coz sometmes najiuliza ! do they ril care???? ? ...
-
Kutoka kutangaza kutafuta mume Instagram hadi kukiri kumpenda Uhuru Kenyatta, Ray C anaendelea kutengeneza vichwa vya habari Afrika Masharik...
-
Blogu ya Wananchi Wednesday, August 19, 2015 TUJIKUMBUSHE HABARI KAMILI YA KAMATI TEULE YA BUNGE YA RICHMOND TAARIFA HII HAPA LIVE YA MWAKA ...
Saturday 29 August 2015
amaxc blog: ninayo hapa makundi ya UEFA europa ligi!!!! jionee mtu wangu!!!
Michezo
Ninayo hapa makundi ya UEFA Europa League mtu wangu…….
August 27 ni siku ambayo yalipangwa makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya Monaco Ufaransa, droo ya kupanga makundi hayo iliambatana na hafla ya utolewaji wa tuzo ya mchezaji bora Ulaya. August 28 yamepangwa makundi ya UEFA ndogo maarufu kama UEFA Europa League.
Klabu ya Liverpool italazimika kusafiri hadi Urusi kuwafuata Rubin Kazan waliyopo maili 500 kutoka mji wa Moscow ulipo, kundi lao B lina timu pia za Bordeaux kutoka Ufaransa na Sion kutokea Switzerland.
Haya ni Makundi yote mtu wangu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment