Popular Posts

Sunday 16 August 2015

amaxc blog: hey haya hapa matokeo ya arsenal na crystal!!! pichazzzz na videooozzz

Crystal-Palace-vs-Arsenal-Live-Score-EPL-16-Aug-2015 August 16 ilikuwa mgeni wa klabu ya Crystal Palace mchezo ambao ulimalizika kwa klabu ya Arsenal kuibuka na ushindi wa goli 2-1 magoli yakifungwa na Olivier Giroud dakika ya 16 kipindi cha kwanza na goli la pili mchezaji wa Crystal Palace Damien Delaney alijifunga dakika ya 55 ya mchezo, goli pekee la Crystal Palace lilifungwa na Joel Ward dakika 28
***ligi bado n ngumu!! so stay tuned to amaxc blog for hot updates!!!

No comments:

Post a Comment