Popular Posts

Sunday 23 August 2015

amaxc blog; haya hapa matokeo ya everton v/s man city nimekuwekea video na pichazzzz yan ile full time jiachieeee!!

amaxc blog: haya hapaa matokeo ua everton v/s man city!!!! jionee video and pichazzxx full time mtu wangu#!!!!
Michezo Nimekusogezea matokeo ya mechi ya Everton Vs Man City (Picha&video) Klabu ya Manchester City imeshuka dimbani August 23 katika uwanja wa Goodson Park kukipiga na mwenyeji wake klabu ya Everton katika mechi ya Ligi Kuu, Man City bado inaendeleza wimbi la ushindi kwani imecheza mechi tatu na kushinda zote, Man City imeifunnga Everton kwa jumla ya goli 2-0. Man-City-Everton Magoli ya Manchester City yalifungwa na Aleksandar Kolarov dakika ya 60 na baada ya hapo kiungo wa kimataifa wa Ufaransa Samir Nasri kufuatia kupachika goli la mwisho mnamo dakika ya 88 ya mchezo na kuifanya Man City kuwa na jumla ya point 6. Hizi ni picha za mchezo

No comments:

Post a Comment