HELLOW!!! WELCOME THIS IS AMAxc THE GLOBAL MEDIA AND NEWS SUPPLIERS!!! amaxc.blogspot.com
Popular Posts
-
Duh hii ni aibu kwelikweli kuona msomi ambaye anategemewa kama kiongozi wa kesho kufanya mambo ya ajabu namna hii .. haya ni ...
-
Hii ni picha ya moja kati ya wanachuo msichana akiwa hosteli na ..demu huyo sio siri anawachanganya wengi chuo hapo ikiwemo ma lectur....
-
Mrembo mwenye ushawishi mkubwa zaidi kwenye social media hapa Bongo, ambaye alishawahi kujinyakulia taji kubwa zaidi la ulimbwende hapa Bon...
-
Ikiwa leo ndio Uchaguzi wabunge wa Viti Maalum Kupitia Chama cha Mapinduzi Nchini katika Mkoa wa Singida Mgombea Wema Sepe...
-
Hz n baadh ya pcha za shilole akiwa na boy wake!! wakiwa kweny mapoz ya mahab ***** { clik here to see the video wakiwa wanaoga ...
-
john pombe magufuli Edward Ngoyai Lowassa. Uchunguzi uliofanywa na Timu ya Uwazi Mizengwe hivi karibuni na kuihusisha mikoa yote ya Ta...
-
Mwanamke aliye bambwa na sungusungu akifanya mapenzi kwenye kichaka na dereva wa teksi.Richard Bukos na Issa Mnally Mwanam...
-
Hzi n baadhi ya pcha za mastaa tofauti w KIKE hapa tz . sio siri n balaa coz sometmes najiuliza ! do they ril care???? ? ...
-
Kutoka kutangaza kutafuta mume Instagram hadi kukiri kumpenda Uhuru Kenyatta, Ray C anaendelea kutengeneza vichwa vya habari Afrika Masharik...
-
Blogu ya Wananchi Wednesday, August 19, 2015 TUJIKUMBUSHE HABARI KAMILI YA KAMATI TEULE YA BUNGE YA RICHMOND TAARIFA HII HAPA LIVE YA MWAKA ...
Sunday 23 August 2015
amaxc blog; haya hapa matokeo ya everton v/s man city nimekuwekea video na pichazzzz yan ile full time jiachieeee!!
amaxc blog: haya hapaa matokeo ua everton v/s man city!!!! jionee video and pichazzxx full time mtu wangu#!!!!
Michezo
Nimekusogezea matokeo ya mechi ya Everton Vs Man City (Picha&video)
Klabu ya Manchester City imeshuka dimbani August 23 katika uwanja wa Goodson Park kukipiga na mwenyeji wake klabu ya Everton katika mechi ya Ligi Kuu, Man City bado inaendeleza wimbi la ushindi kwani imecheza mechi tatu na kushinda zote, Man City imeifunnga Everton kwa jumla ya goli 2-0.
Man-City-Everton
Magoli ya Manchester City yalifungwa na Aleksandar Kolarov dakika ya 60 na baada ya hapo kiungo wa kimataifa wa Ufaransa Samir Nasri kufuatia kupachika goli la mwisho mnamo dakika ya 88 ya mchezo na kuifanya Man City kuwa na jumla ya point 6.
Hizi ni picha za mchezo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment