HELLOW!!! WELCOME THIS IS AMAxc THE GLOBAL MEDIA AND NEWS SUPPLIERS!!! amaxc.blogspot.com
Popular Posts
-
Duh hii ni aibu kwelikweli kuona msomi ambaye anategemewa kama kiongozi wa kesho kufanya mambo ya ajabu namna hii .. haya ni ...
-
Hii ni picha ya moja kati ya wanachuo msichana akiwa hosteli na ..demu huyo sio siri anawachanganya wengi chuo hapo ikiwemo ma lectur....
-
Mrembo mwenye ushawishi mkubwa zaidi kwenye social media hapa Bongo, ambaye alishawahi kujinyakulia taji kubwa zaidi la ulimbwende hapa Bon...
-
Ikiwa leo ndio Uchaguzi wabunge wa Viti Maalum Kupitia Chama cha Mapinduzi Nchini katika Mkoa wa Singida Mgombea Wema Sepe...
-
Hz n baadh ya pcha za shilole akiwa na boy wake!! wakiwa kweny mapoz ya mahab ***** { clik here to see the video wakiwa wanaoga ...
-
john pombe magufuli Edward Ngoyai Lowassa. Uchunguzi uliofanywa na Timu ya Uwazi Mizengwe hivi karibuni na kuihusisha mikoa yote ya Ta...
-
Mwanamke aliye bambwa na sungusungu akifanya mapenzi kwenye kichaka na dereva wa teksi.Richard Bukos na Issa Mnally Mwanam...
-
Hzi n baadhi ya pcha za mastaa tofauti w KIKE hapa tz . sio siri n balaa coz sometmes najiuliza ! do they ril care???? ? ...
-
Kutoka kutangaza kutafuta mume Instagram hadi kukiri kumpenda Uhuru Kenyatta, Ray C anaendelea kutengeneza vichwa vya habari Afrika Masharik...
-
Blogu ya Wananchi Wednesday, August 19, 2015 TUJIKUMBUSHE HABARI KAMILI YA KAMATI TEULE YA BUNGE YA RICHMOND TAARIFA HII HAPA LIVE YA MWAKA ...
Wednesday 28 October 2015
amaxc blog: sentensi tano za mbowe akizungumza na waandishi wa habari trh 27 oktoba liveeee
Ni saa chache tu baada ya kuanza kutangazwa kwa matokeo ya Urais ya mwaka 2015 Tanzania ambapo leo October 27, 2015 mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kazungumza na waandishi wa habari.
‘Yako mambo mengi yanatendeka ya hujuma dhidi ya mgombea wetu LOWASSA ili asishinde kiti cha urais, sambamba na kujaribu kupunguza kwa nguvu isipokuwa halali idadi ya wabunge wa UKAWA kwa kutumia jeshi la polisi’- MBOWE
‘Leo ni siku ya tatu jeshi la polisi limewaweka ndani vijana wetu wa IT zaidi ya 100, huku wengine wakifikishwa mahakamani, Kwahiyo wao wenzetu wamejaribu kuvunja mfumo wetu wa mawasiliano, wametumia polisi kuharibu vifaa vyetu vya kuhesabia kura’ – Mbowe
.l
‘Katika mifumo kama hiyo tunapata wakati mgumu sana kuamini kwamba tume inachokifanya pamoja na serikali yake kina nia njema kwa nchi yetu‘ – Mbowe
Friday 23 October 2015
amaxc blog: mbalon kwa kumtusi raisi jakaya na mwanae...
Mkazi wa mjini Moshi, Kyefa Joachim Makundi (33), leo amepandishwa kizimbani akikabiliwa na mashitaka ya kumtukana Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete.
Mbali na shitaka hilo, mshitakiwa huyo amesomewa shitaka lingine la kumtukana Ridhiwan Kikwete ambaye ni mtoto wa Rais Kikwete ambaye pia ni Mbunge wa Chalinze anayemaliza muda wake.
Mshitakiwa huyo amefikishwa mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa mahakama ya mkoa Kilimanjaro, Joachim Tiganga na kusomewa mashitaka hayo na wakili wa Serikali Kanda ya Moshi, Agatha Pima.
Wakili Pima amedai mahakamani kuwa Oktoba 17 mwaka huu katika baa ya Harambee iliyopo katikati ya mji wa Moshi, mshitakiwa alitumia lugha ya matusi dhidi ya Rais Kikwete na mwanae Ridhiwan.
Ingawa matusi hayo hayakuandikwa kwenye hati ya mashitaka, lakini wakili Pima amedai kitendo hicho ni kinyume cha kifungu 89(1) (a) cha kanuni ya adhabu kama kilivyofanyiwa marejeo mwaka 2002.
Chini ya kifungu hicho, mtu yeyote anayetumia lugha ya matusi, kuudhi, au kudhalilisha dhidi ya mtu mwingine katika hali ambayo inaweza kusababisha uvunjifu wa amani anatenda kosa la jinai.
Adhabu inayotolewa kwa mtu anayepatikana na hatia katika kosa hilo ni kifungo cha miezi sita jela.
Hata hivyo, mshitakiwa amekana shitaka hilo ambapo mahakama imesema dhamana ilikuwa wazi ikiwa mshitakiwa atakuwa na wadhamini wawili watakaosaini hati ya dhamana ya Sh1.5 milioni kila mmoja.
Source: Mwananchi
Saturday 17 October 2015
amaxc blog: magazet ya bongo leo trh 17/10/2015!!!!! jionee headlnes ambazo ndo habar ya mujin asubuh hii....
Friday 16 October 2015
amaxc blog: Ratiba ya mechi za Ligi Kuu Tanzania bara, Uingereza na Hispania October 17 na 18
By
team leader
on
October 16, 2015
113 shares
... Baada ya mapumziko ya Ligi mbalimbali duniani ili kupisha mechi za kalenda ya FIFA kumalizika, weekend hii Ligi Kuu mbalimbali zinaendelea kwa michezo kadhaa kupigwa katika viwanja tofauti tofauti, huenda ukawa unataka kufahamu mechi za weekend hii zitakazochezwa za Ligi Kuu Tanzania Bara, Uingereza na Ligi Kuu Hispania hii ndio ratiba ya mechi za weekend hii.
Ligi Kuu Tanzania bara mechi za October 17 na 18
vpl
Mechi zote za Ligi Kuu Tanzania bara zitachezwa saa 16:00 kwa saa za Afrika Mashariki
Mechi za Ligi Kuu Uingereza weekend ya October 17 na 18
EPL
Ratiba ya mechi za Ligi Kuu Uingereza kwa saa za Afrika Mashariki
Tottenham Vs Liverpool saa 14:45
Chelsea Vs Aston Villa saa 17:00
Crystal Palace Vs West Ham saa 17:00
Everton Vs Man United saa 17:00
Man City Vs Bournemouth saa 17:00
Southampton Vs Leicester City saa 17:00
West Brom Vs Sunderland saa 17:00
Watford Vs Arsenal saa 19:30
Jumapili ya October 18
Newcastle Vs Norwich saa 18:00
Ratiba ya mechi za Ligi Kuu Hispania
LALIGA
Ratiba za mechi za Hispania kwa saa za Afrika Mashariki
Real Madrid Vs Levante saa 17:00
Eibar Vs Sevilla saa 19:15
Barcelona Vs Rayo Vallecano saa 21:30
Valencia Vs Málaga saa 23:00
Real Betis Vs Espanyol saa 23:05
Mechi za Jumapili ya October 18
Villarreal Vs Celta de Vigo saa 13:00
Real Sociedad Vs Atl Madrid saa 17:00
Getafe Vs Las Palmas saa 19:15
Deportivo de La Coruña Vs Ath Bilbao saa 21:30
amaxc blog: Ndoa ina miaka 10, kumbe Nameless na Wahu waliwahi kuchokana? Kilichofuatia je?
amaxc blog: Hii ndio Hospitali ya kwanza kufunguliwa kitengo cha kuhudumia Wanaume waliobakwa !!
amaxc blog: VIFO SABA VYA TAIFA WAKATI HUU WA KAMPENI ZA UCHAGUZI MUNGU AWAWEKE PEMA PEPONI!! AIMEEEN!!
2. Celina Kombani, - CCM
3. Abdallah Kigoda,- CCM
4. Christopher Mtikila, - UKAWA
5. Estomihi Malla, - ACT-WAZALENDO
6. Emmanuel Makaidi, - UKAWA
7. Deo Filikunjombe. - CCM
****mungu aziweke roho za marehemu mahala pema peponi!!
amen!!!
BREAKIN NEWZZ!!:- PICHA ZA KWANZA 10 ZA HUZUNI ZA KIFO CHA MBUNGE WA CCM LUDEWA NA WENZAKE JINSI MABAKI YA MIILI YAO YALIYVOPATIKANA HUKO MBUGANI SELOUS/IRINGA
LIVE!!
Chopa aliyokuwa akiitumia wakati wa Uchaguzi Mbunge wa CCM Ludewa Marehemu Deo Filikunjombe, chopa iliyomletea mauti jana usiku.
Marehemu Deo Filikunjombe
mungu azilaze roho za marehem mahala pema pepon!.
ameen
Subscribe to:
Posts (Atom)