Popular Posts

Friday 16 October 2015

amaxc blog: Ratiba ya mechi za Ligi Kuu Tanzania bara, Uingereza na Hispania October 17 na 18

<Michezo: Ratiba ya mechi za Ligi Kuu Tanzania bara, Uingereza na Hispania October 17 na 18 
 By team leader
 on October 16, 2015
 113 shares
... Baada ya mapumziko ya Ligi mbalimbali duniani ili kupisha mechi za kalenda ya FIFA kumalizika, weekend hii Ligi Kuu mbalimbali zinaendelea kwa michezo kadhaa kupigwa katika viwanja tofauti tofauti, huenda ukawa unataka kufahamu mechi za weekend hii zitakazochezwa za Ligi Kuu Tanzania Bara, Uingereza na Ligi Kuu Hispania hii ndio ratiba ya mechi za weekend hii. Ligi Kuu Tanzania bara mechi za October 17 na 18 vpl
Mechi zote za Ligi Kuu Tanzania bara zitachezwa saa 16:00 kwa saa za Afrika Mashariki Mechi za Ligi Kuu Uingereza weekend ya October 17 na 18
EPL
 Ratiba ya mechi za Ligi Kuu Uingereza kwa saa za Afrika Mashariki 
 Tottenham Vs Liverpool saa 14:45 Chelsea Vs Aston Villa saa 17:00 
 Crystal Palace Vs West Ham saa 17:00 Everton Vs Man United saa 17:00 Man City Vs Bournemouth saa 17:00 Southampton Vs Leicester City saa 17:00
 West Brom Vs Sunderland saa 17:00 Watford Vs Arsenal saa 19:30 
 Jumapili ya October 18
 Newcastle Vs Norwich saa 18:00
 Ratiba ya mechi za Ligi Kuu Hispania
LALIGA
 Ratiba za mechi za Hispania kwa saa za Afrika Mashariki
 Real Madrid Vs Levante saa 17:00 
 Eibar Vs Sevilla saa 19:15
 Barcelona Vs Rayo Vallecano saa 21:30 Valencia Vs Málaga saa 23:00
 Real Betis Vs Espanyol saa 23:05 
 Mechi za Jumapili ya October 18 Villarreal Vs Celta de Vigo saa 13:00
 Real Sociedad Vs Atl Madrid saa 17:00 Getafe Vs Las Palmas saa 19:15 Deportivo de La Coruña Vs Ath Bilbao saa 21:30

No comments:

Post a Comment