Popular Posts

Wednesday 28 October 2015

amaxc blog: sentensi tano za mbowe akizungumza na waandishi wa habari trh 27 oktoba liveeee

Ni saa chache tu baada ya kuanza kutangazwa kwa matokeo ya Urais ya mwaka 2015 Tanzania ambapo leo October 27, 2015 mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kazungumza na waandishi wa habari. ‘Yako mambo mengi yanatendeka ya hujuma dhidi ya mgombea wetu LOWASSA ili asishinde kiti cha urais, sambamba na kujaribu kupunguza kwa nguvu isipokuwa halali idadi ya wabunge wa UKAWA kwa kutumia jeshi la polisi’- MBOWE ‘Leo ni siku ya tatu jeshi la polisi limewaweka ndani vijana wetu wa IT zaidi ya 100, huku wengine wakifikishwa mahakamani, Kwahiyo wao wenzetu wamejaribu kuvunja mfumo wetu wa mawasiliano, wametumia polisi kuharibu vifaa vyetu vya kuhesabia kura’ – Mbowe .l ‘Katika mifumo kama hiyo tunapata wakati mgumu sana kuamini kwamba tume inachokifanya pamoja na serikali yake kina nia njema kwa nchi yetu‘ – Mbowe

No comments:

Post a Comment