Popular Posts

Saturday 25 July 2015

BREAKING NEWS!!!! WEMA SEPETU ATIKISA UCHAGUZ HUKO SINGIDA LEOO!!!

Ikiwa leo ndio Uchaguzi wabunge wa Viti Maalum Kupitia Chama cha Mapinduzi Nchini katika Mkoa wa Singida Mgombea Wema Sepetu Ametikisa Uchaguzi huo Leo.Wema Sepetu amekuwa Gumzo wakati Akiwasili Katika Uchaguzi Huo Leo na Kuteka Wajumbe wote walioudhuria Uchaguzi huo
wakitaka Kusalimiana nae Pamoja na Kupiga nae Picha. Hali Hiyo ilijitokeza wakati Mgombea Huyo Alipowasili kwenye ukumbi wa Mkutano Tayari kwa uchagguzi endelea Kuwa Nasi kwa Matokeo ya uchaguzi huo, Chini Kabis 

BOFYA KUONA PICHA ZAIDI WEMA ALIVYOWASILI

No comments:

Post a Comment