Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amemkaribisha Edward Lowassa kujiunga na CHADEMA, amesema CHADEMA hakibagui Mtanzania yeyote.
-Amesema mgombea atakayewakilisha UKAWA ndiye atakayekuwa Rais kwenye uchaguzi wa Oktoba mwaka huu
BOFYA KUONA PICHA ZAIDI ALIKPOKELEWA RASMI
No comments:
Post a Comment