MABINGWA wa Ligi kuu soka Tanzania
bara mwaka 1988 Coastal Union ya Tanga
kesho Iddi Pili inatarajia kucheza mechi
ya kirafiki na timu ya Friends Corner
ikiwa ni maandalizi ya kuelekea msimu
mpya wa Ligi kuu soka Tanzania bara.
Mechi hiyo inatarajiwa kuchezwa Iddi Pili
kwenye uwanja wa CCM Mkwakwani ikiwa
ni muendelezo wa mechi za kujipima
nguvu kwa ajili ya kukiimarisha kikosi
hicho kwa ajili ya mashindano ya Ligi kuu
yajayo.
Maandalizi ya kuelekea mechi hiyo
yamekamilika kwa asilimia kubwa na
hivyo Friends Corner watatua mkoani siku
hiyo hiyo ya mchezo huo tayari kwa ajili
ya mchezo huo.
Taarifa inaeleza baada ya kumalizika
mechi hiyo tutaangalie uwezekano wa
kucheza mechi nyengine za majaribio ili
kuweza kukipa makali kikosi cha timu
hiyo ambacho msimu ujao kimedhamiria
kuleta mapinduzi kwenye michuano hiyo.
Na mtambue kuwa dhamira ya timu yetu
ni kuhakikisha inafanya maandalizi
kabambe ili kuweza kurejesha heshima yao
ya miaka ya nyuma walipochukua
ubingwa wa ligi kuu.
Hata hivyo tunawataka wanachama,
wapenzi na mashabiki kujitokeza kwa
wingi kwenye mechi hiyo ili kuweza kuona
viwango vya wachezaji wapya
waliosajiliwa kabla ya kuanza msimu
mpya wa Ligi kuu.
Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano
Coastal Union.
OSCAR ASSENGA.
HELLOW!!! WELCOME THIS IS AMAxc THE GLOBAL MEDIA AND NEWS SUPPLIERS!!! amaxc.blogspot.com
Popular Posts
-
Duh hii ni aibu kwelikweli kuona msomi ambaye anategemewa kama kiongozi wa kesho kufanya mambo ya ajabu namna hii .. haya ni ...
-
Hii ni picha ya moja kati ya wanachuo msichana akiwa hosteli na ..demu huyo sio siri anawachanganya wengi chuo hapo ikiwemo ma lectur....
-
Mrembo mwenye ushawishi mkubwa zaidi kwenye social media hapa Bongo, ambaye alishawahi kujinyakulia taji kubwa zaidi la ulimbwende hapa Bon...
-
Ikiwa leo ndio Uchaguzi wabunge wa Viti Maalum Kupitia Chama cha Mapinduzi Nchini katika Mkoa wa Singida Mgombea Wema Sepe...
-
Hz n baadh ya pcha za shilole akiwa na boy wake!! wakiwa kweny mapoz ya mahab ***** { clik here to see the video wakiwa wanaoga ...
-
john pombe magufuli Edward Ngoyai Lowassa. Uchunguzi uliofanywa na Timu ya Uwazi Mizengwe hivi karibuni na kuihusisha mikoa yote ya Ta...
-
Mwanamke aliye bambwa na sungusungu akifanya mapenzi kwenye kichaka na dereva wa teksi.Richard Bukos na Issa Mnally Mwanam...
-
Hzi n baadhi ya pcha za mastaa tofauti w KIKE hapa tz . sio siri n balaa coz sometmes najiuliza ! do they ril care???? ? ...
-
Kutoka kutangaza kutafuta mume Instagram hadi kukiri kumpenda Uhuru Kenyatta, Ray C anaendelea kutengeneza vichwa vya habari Afrika Masharik...
-
Blogu ya Wananchi Wednesday, August 19, 2015 TUJIKUMBUSHE HABARI KAMILI YA KAMATI TEULE YA BUNGE YA RICHMOND TAARIFA HII HAPA LIVE YA MWAKA ...
Saturday 18 July 2015
AMAxc BLOG: COSTAL UNION KUKIPIGA KESHO IDD PILI NA FRIENDS CORNER!!!!!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment