Popular Posts

Monday 20 July 2015

AMAxc BLOG: SHILOLE NA MZIWANDA WALUSHIANA MATUSI KWENY MITANDAO!!!! JIONEE MWENYEW!!!

Penzi la mastaa wa hapa Bongo, Shilole na Mziwanda linaonekana kupumulia  mashine kwa sasa hivi  baada ya wawili hao kuibuka mtandaoni na kurushiana maneno ya kejeli.
Alianza Shilole kwa kuandika haya;
"Mwanaume hata umfanyie nini haridhik lol! Pamoja na kukubali shida zake zote lakin mh! Nimejitahid nimehangaika'ila sasa kama gari limewaka'aka babu weeee kanikuta na maisha yangu wacha niendelee na maisha yangu'Mimi na yeye baaaaaaasi ...GaNdALaNdiZi"

Baada ya saa 2 Mziwanda alijibu mapigo kwa kuandika;
Mwanaume wa kweli ukaa kimya'sibishani na upumbavu'mwanamke asieridhika na kujua kua kathaminiwa mpaka tatoo kachorwa'na kuvumilia mambo yote alionifanyia ya kuniaibisha mbele ya mashabiki zangu'familia na'wasanii wenzangu na wadau'anaanza kunitukana mitandaoni for whaaaat!!! Mxeeeeew'mimi bado kijana na nna time ya kupata maisha yangu na mtu atakae thamini moyo wangu 'nawaachia wanaume wenzangu na nyie mjaribu zari 'mimi nacheka tu

No comments:

Post a Comment