URAFIKI wa mashaka! Mastaa wawili wa filamu
Bongo, ambao walikuwa mashosti kwa muda
mrefu kabla ya kidudumtu kuingilia kati hivi
karibuni na kusuluhishwa, hivi sasa bifu kati
yao limeanza upya, Risasi Mchanganyiko
linakujuza.
Chanzo chetu ambacho hakipepesi macho
kinasema tangu Aunt ajifungue mtoto, Wema
hakuwahi kukanyaga nyumbani kwake kwa ajili
ya kumuona, kutoa hongera au hata pole kwa
rafiki yake huyo, isipokuwa wamekuwa
wakichati kupitia simu za mikononi, kitu
ambacho si sahihi.
Lakini kali zaidi, ni kitendo cha Wema
kushindwa kuhudhuria sherehe ya kutimiza
siku 40 tangu azaliwe mtoto huyo, Cookie, kitu
kilichomfanya mwenzake kumuondoa kabisa
katika orodha ya marafiki zake.
“Yaani Aunt kipindi chote alimvumilia akijua
huenda yuko ‘bize’, lakini kwa kutofika kwenye
siku hiyo muhimu, amemtoa kabisa akilini
mwake,” kilisema.
Baada ya kupata habari hizo, gazeti hili
lilimtafuta kwa njia ya simu Aunt ili kuthibitisha
ubuyu huo, lakini akakubali tu juu ya
kutohudhuria kwenye tukio hilo muhimu la
mtoto wake, licha ya kuwa alimpa taarifa.
“Hakuja, lakini siwezi mlaumu sana, labda
alikuwa na majukumu mengi, ukizingatia hivi
sasa ana mambo ya ubunge,” alisema.
Wema hakuweza kupatikana baada ya simu
yake kutopokelewa kwa muda wote
alipopigiwa.
HELLOW!!! WELCOME THIS IS AMAxc THE GLOBAL MEDIA AND NEWS SUPPLIERS!!! amaxc.blogspot.com
Popular Posts
-
Duh hii ni aibu kwelikweli kuona msomi ambaye anategemewa kama kiongozi wa kesho kufanya mambo ya ajabu namna hii .. haya ni ...
-
Hii ni picha ya moja kati ya wanachuo msichana akiwa hosteli na ..demu huyo sio siri anawachanganya wengi chuo hapo ikiwemo ma lectur....
-
Mrembo mwenye ushawishi mkubwa zaidi kwenye social media hapa Bongo, ambaye alishawahi kujinyakulia taji kubwa zaidi la ulimbwende hapa Bon...
-
Ikiwa leo ndio Uchaguzi wabunge wa Viti Maalum Kupitia Chama cha Mapinduzi Nchini katika Mkoa wa Singida Mgombea Wema Sepe...
-
Hz n baadh ya pcha za shilole akiwa na boy wake!! wakiwa kweny mapoz ya mahab ***** { clik here to see the video wakiwa wanaoga ...
-
john pombe magufuli Edward Ngoyai Lowassa. Uchunguzi uliofanywa na Timu ya Uwazi Mizengwe hivi karibuni na kuihusisha mikoa yote ya Ta...
-
Mwanamke aliye bambwa na sungusungu akifanya mapenzi kwenye kichaka na dereva wa teksi.Richard Bukos na Issa Mnally Mwanam...
-
Hzi n baadhi ya pcha za mastaa tofauti w KIKE hapa tz . sio siri n balaa coz sometmes najiuliza ! do they ril care???? ? ...
-
Kutoka kutangaza kutafuta mume Instagram hadi kukiri kumpenda Uhuru Kenyatta, Ray C anaendelea kutengeneza vichwa vya habari Afrika Masharik...
-
Blogu ya Wananchi Wednesday, August 19, 2015 TUJIKUMBUSHE HABARI KAMILI YA KAMATI TEULE YA BUNGE YA RICHMOND TAARIFA HII HAPA LIVE YA MWAKA ...
Sunday 19 July 2015
AMAxc BLOG: BEEF LA WEMA NA ANT EZEKIEL TENA KIMENUKA!!!!! JIONEE SABABU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment