Popular Posts

Thursday 23 July 2015

AMAxc BLOG; RAY C AZUA MAJANGA!!! HEB JIONEE

MAKUBWA! Mwanadada mkongwe wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C,’ amedaiwa kuwageuza mtaji wanaume wanaojitokeza kumchumbia kwa kuwapiga mizinga ili ajipatie ‘chochote’ (fedha), Risasi Mchanganyiko lina ‘full’ stori.
Kwa mujibu wa mmoja wa wanaume aliyejitambulisha kwa jina la Aboubakar ambaye alifunga safari mpaka kwa Ray C kwa lengo la kutaka kumuoa wiki chache baada ya mwanadada huyo kutangaza kutafuta mume mwenye vigezo alivyovitaka, baada ya kuchati na kumueleza kuwa anataka kumuoa, alishangaa kuona mwanadada huyo anampiga mzinga.

No comments:

Post a Comment