HELLOW!!! WELCOME THIS IS AMAxc THE GLOBAL MEDIA AND NEWS SUPPLIERS!!! amaxc.blogspot.com
Popular Posts
-
Duh hii ni aibu kwelikweli kuona msomi ambaye anategemewa kama kiongozi wa kesho kufanya mambo ya ajabu namna hii .. haya ni ...
-
Hii ni picha ya moja kati ya wanachuo msichana akiwa hosteli na ..demu huyo sio siri anawachanganya wengi chuo hapo ikiwemo ma lectur....
-
Mrembo mwenye ushawishi mkubwa zaidi kwenye social media hapa Bongo, ambaye alishawahi kujinyakulia taji kubwa zaidi la ulimbwende hapa Bon...
-
Ikiwa leo ndio Uchaguzi wabunge wa Viti Maalum Kupitia Chama cha Mapinduzi Nchini katika Mkoa wa Singida Mgombea Wema Sepe...
-
Hz n baadh ya pcha za shilole akiwa na boy wake!! wakiwa kweny mapoz ya mahab ***** { clik here to see the video wakiwa wanaoga ...
-
john pombe magufuli Edward Ngoyai Lowassa. Uchunguzi uliofanywa na Timu ya Uwazi Mizengwe hivi karibuni na kuihusisha mikoa yote ya Ta...
-
Mwanamke aliye bambwa na sungusungu akifanya mapenzi kwenye kichaka na dereva wa teksi.Richard Bukos na Issa Mnally Mwanam...
-
Hzi n baadhi ya pcha za mastaa tofauti w KIKE hapa tz . sio siri n balaa coz sometmes najiuliza ! do they ril care???? ? ...
-
Kutoka kutangaza kutafuta mume Instagram hadi kukiri kumpenda Uhuru Kenyatta, Ray C anaendelea kutengeneza vichwa vya habari Afrika Masharik...
-
Blogu ya Wananchi Wednesday, August 19, 2015 TUJIKUMBUSHE HABARI KAMILI YA KAMATI TEULE YA BUNGE YA RICHMOND TAARIFA HII HAPA LIVE YA MWAKA ...
Friday 31 July 2015
AMAxc BLOG: VIKWAZO VIPYA SAFARI YA MATUMAINI!!!!
AMAxc BLOG: MREMBO ALIYE TKISA MITANDAONI ASUBUHI YA LEOOO!!! NSHDAAH
huyu ndo ze babby aliye kmbza saaan mitandaoni!! labda nkuulize ww mdau wangu is she lookng beautiful??
clik hapa ujionee video ya mrembo huyu akioga bafuniAMAxc BLOG: MAMA DIAMOND >>>MUNGU MKUBWA!! UNAJUA KWANN JIONEE HAPA
MUNGU mkubwa! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia siha ya mama mzazi wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Sanura Kassim ‘Sandra’ ambaye kwa sasa yupo fiti baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Mwaka jana, mama Diamond aliripotiwa
kushambuliwa na maradhi yaliyoashiria kupooza hadi kufikia hatua ya kwenda kutibiwa India kisha kurudishwa nchini akiwa bado hajapona vizuri.
Chanzo kilicho karibu na familia ya staa huyo kilieleza kuwa, ugonjwa huo ambao ulimfanya ashindwe kutembea vizuri, ulimsumbua kwa kipindi kirefu lakini kwa sasa wanamshukuru Mungu, mama huyo anaweza kutembea mwenyewe na kuendelea na shughuli zake za kila siku.
“Wee ile ilikuwa hatari, ameumwa sana jamani mama Diamond. Hadi hatua hii ambayo amefikia kwa sasa, kwa kweli tunapaswa kumshukuru sana Mungu, ameteseka vya kutosha, sasa hivi ukimuona, shavu dodo,” kilisema chanzo hicho.
Mwanahabari wetu baada ya kupenyezewa habari hiyo, hivi karibuni alitumiwa picha ya mama Diamond akiwa fiti akitembea barabarani akifanya shughuli zake za kila siku.
Jitihada za kumpata mama Diamond azungumzie uzima wake hazikuzaa matunda kufuatia simu yake ya mkononi kutokuwa hewani lakini Diamond alipatikana na kusema yeye pamoja na bebi wake, mama kijacho, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ wanamshukuru Mungu kwani sasa mama yao yuko vizuri kiafya.
Mama ndiyo faraja yangu siku zote. Kwa kumuona hivi mzima sasa hivi, mimi na bebi wangu (Zari) tuna amani na tunamshukuru sana Mungu, mama anatembea na kufanya shughuli zake kama zamani,” alisema Diamond
Mwaka jana, mama Diamond aliripotiwa
kushambuliwa na maradhi yaliyoashiria kupooza hadi kufikia hatua ya kwenda kutibiwa India kisha kurudishwa nchini akiwa bado hajapona vizuri.
Chanzo kilicho karibu na familia ya staa huyo kilieleza kuwa, ugonjwa huo ambao ulimfanya ashindwe kutembea vizuri, ulimsumbua kwa kipindi kirefu lakini kwa sasa wanamshukuru Mungu, mama huyo anaweza kutembea mwenyewe na kuendelea na shughuli zake za kila siku.
“Wee ile ilikuwa hatari, ameumwa sana jamani mama Diamond. Hadi hatua hii ambayo amefikia kwa sasa, kwa kweli tunapaswa kumshukuru sana Mungu, ameteseka vya kutosha, sasa hivi ukimuona, shavu dodo,” kilisema chanzo hicho.
Mwanahabari wetu baada ya kupenyezewa habari hiyo, hivi karibuni alitumiwa picha ya mama Diamond akiwa fiti akitembea barabarani akifanya shughuli zake za kila siku.
Jitihada za kumpata mama Diamond azungumzie uzima wake hazikuzaa matunda kufuatia simu yake ya mkononi kutokuwa hewani lakini Diamond alipatikana na kusema yeye pamoja na bebi wake, mama kijacho, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ wanamshukuru Mungu kwani sasa mama yao yuko vizuri kiafya.
Mama ndiyo faraja yangu siku zote. Kwa kumuona hivi mzima sasa hivi, mimi na bebi wangu (Zari) tuna amani na tunamshukuru sana Mungu, mama anatembea na kufanya shughuli zake kama zamani,” alisema Diamond
AMAxc BLOH: HATIMAYE BRAZA WAKE ZARI AMCHUMBIA LINNAH!! JIONEE HAPA
Thursday 30 July 2015
Subscribe to:
Posts (Atom)