HELLOW!!! WELCOME THIS IS AMAxc THE GLOBAL MEDIA AND NEWS SUPPLIERS!!! amaxc.blogspot.com
Popular Posts
-
Duh hii ni aibu kwelikweli kuona msomi ambaye anategemewa kama kiongozi wa kesho kufanya mambo ya ajabu namna hii .. haya ni ...
-
Hii ni picha ya moja kati ya wanachuo msichana akiwa hosteli na ..demu huyo sio siri anawachanganya wengi chuo hapo ikiwemo ma lectur....
-
Mrembo mwenye ushawishi mkubwa zaidi kwenye social media hapa Bongo, ambaye alishawahi kujinyakulia taji kubwa zaidi la ulimbwende hapa Bon...
-
Ikiwa leo ndio Uchaguzi wabunge wa Viti Maalum Kupitia Chama cha Mapinduzi Nchini katika Mkoa wa Singida Mgombea Wema Sepe...
-
Hz n baadh ya pcha za shilole akiwa na boy wake!! wakiwa kweny mapoz ya mahab ***** { clik here to see the video wakiwa wanaoga ...
-
john pombe magufuli Edward Ngoyai Lowassa. Uchunguzi uliofanywa na Timu ya Uwazi Mizengwe hivi karibuni na kuihusisha mikoa yote ya Ta...
-
Mwanamke aliye bambwa na sungusungu akifanya mapenzi kwenye kichaka na dereva wa teksi.Richard Bukos na Issa Mnally Mwanam...
-
Hzi n baadhi ya pcha za mastaa tofauti w KIKE hapa tz . sio siri n balaa coz sometmes najiuliza ! do they ril care???? ? ...
-
Kutoka kutangaza kutafuta mume Instagram hadi kukiri kumpenda Uhuru Kenyatta, Ray C anaendelea kutengeneza vichwa vya habari Afrika Masharik...
-
Blogu ya Wananchi Wednesday, August 19, 2015 TUJIKUMBUSHE HABARI KAMILI YA KAMATI TEULE YA BUNGE YA RICHMOND TAARIFA HII HAPA LIVE YA MWAKA ...
Tuesday 6 October 2015
amaxc blog: Lionel Messi anusurika kupelekwa mahakamani, baba yake anaweza kufungwa miezi 18 jela…
Michezo:
Lionel Messi anusurika kupelekwa mahakamani, baba yake anaweza kufungwa miezi 18 jela…
Unaikumbuka ile kesi ya Lionel Messi na baba yake mzazi Jorge Messi kutuhumiwa kukwepa kodi? basi stori kutoka mtandao wa the42.ie kuhusu muendelezo wa kesi hiyo baada ya waendesha mashitaka nchini Hispania kuona Lionel Messi hana Kesi ya kujibu ila baba yake anayo kesi ya kujibu.
Lionel-Messi-goals-Season-201516
Ripoti kutoka mtandao huo unaeleza kuwa waendesha mashitaka wa Catalunya wameona Lionel Messi hana kesi ya kujibu ila baba yake Jorge Messi itamlazimu kutumikia kifungo cha miezi 18 jela kama akikutwa na hatia ya kosa la ukwepaji kodi. Lionel Messi na baba yake walikuwa wakituhumiwa kukwepa kulipa kodi kiasi cha euro milioni 4.1 kati ya mwaka 2007 hadi 2009.
Lionel-Messi-Jorge-Messi
Lionel Messi na baba yake Jorge Messi
Jorge Messi ambaye ni baba wa Lionel Messi ana tuhumiwa kwa kosa la ukwepaji kodi, kwani yeye ndio muhusika mkuu wa tukio hilo ambaye huwa anasimama kama wakala wa Lionel Messi katika shughuli zake mbalimbali. Lionel Messi kwa sasa yupo nje ya uwanja kwa muda wa wiki nane akiuguza jeraha lake
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment