HELLOW!!! WELCOME THIS IS AMAxc THE GLOBAL MEDIA AND NEWS SUPPLIERS!!! amaxc.blogspot.com
Popular Posts
-
Duh hii ni aibu kwelikweli kuona msomi ambaye anategemewa kama kiongozi wa kesho kufanya mambo ya ajabu namna hii .. haya ni ...
-
Hii ni picha ya moja kati ya wanachuo msichana akiwa hosteli na ..demu huyo sio siri anawachanganya wengi chuo hapo ikiwemo ma lectur....
-
Mrembo mwenye ushawishi mkubwa zaidi kwenye social media hapa Bongo, ambaye alishawahi kujinyakulia taji kubwa zaidi la ulimbwende hapa Bon...
-
Ikiwa leo ndio Uchaguzi wabunge wa Viti Maalum Kupitia Chama cha Mapinduzi Nchini katika Mkoa wa Singida Mgombea Wema Sepe...
-
Hz n baadh ya pcha za shilole akiwa na boy wake!! wakiwa kweny mapoz ya mahab ***** { clik here to see the video wakiwa wanaoga ...
-
john pombe magufuli Edward Ngoyai Lowassa. Uchunguzi uliofanywa na Timu ya Uwazi Mizengwe hivi karibuni na kuihusisha mikoa yote ya Ta...
-
Mwanamke aliye bambwa na sungusungu akifanya mapenzi kwenye kichaka na dereva wa teksi.Richard Bukos na Issa Mnally Mwanam...
-
Hzi n baadhi ya pcha za mastaa tofauti w KIKE hapa tz . sio siri n balaa coz sometmes najiuliza ! do they ril care???? ? ...
-
Kutoka kutangaza kutafuta mume Instagram hadi kukiri kumpenda Uhuru Kenyatta, Ray C anaendelea kutengeneza vichwa vya habari Afrika Masharik...
-
Blogu ya Wananchi Wednesday, August 19, 2015 TUJIKUMBUSHE HABARI KAMILI YA KAMATI TEULE YA BUNGE YA RICHMOND TAARIFA HII HAPA LIVE YA MWAKA ...
Wednesday 26 August 2015
amaxc blog: haya n masharti aliyopewa mario baloteli na klabu ya ac millan!!! jionee ze mambo si mambozz!!!
Michezo
Haya ni masharti aliyopewa Mario Balotelli na klabu ya AC Milan
August 25 ni siku ambayo mshambuliaji wa kimataifa wa Italia Mario Balotelli ambaye alikuwa akiichezea Liverpool ya Uingereza athibitishwe kujiunga na klabu ya AC Milan ya Italia kwa mkopo wa muda mrefu. Balotelli alijiunga na AC Milan ikiwa ni msimu mmoja umepita toka ahamie Liverpool akitokea klabu ya AC Milan
Sasa August 26 zimetoka taarifa mpya kuhusu vipengele vilivyomo ndani ya mkataba wa Mario Balotelli wa kujiunga na AC Milan, imethibitishwa kuwa, kuna kipengele ambacho kinamzuia kuweka Style za nywele za ajabu kuvuta sigara ili kulinda afya yake, afike mazoezini kwa wakati, kunywa pombe na kwenda Club bila mpangilio.
Kwa mujibu wa gazeti la dello Sport linaeleza kuwa afisa mtendaji mkuu wa klabu ya AC Milan Adriano Galliani ameeleza kuhusiana na kipengele hicho kuwemo kwenye mkataba, Balotelli amewahi kukutwa na muhudumu wa treni akivuta sigara katika choo cha treni.
Haya ni baadhi ya makosa ambayo Balotelli aliwahi kufanya na faini alizolipa
duh huyu jamaaa ka wabongo!!! hv
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment