HELLOW!!! WELCOME THIS IS AMAxc THE GLOBAL MEDIA AND NEWS SUPPLIERS!!! amaxc.blogspot.com
Popular Posts
-
Duh hii ni aibu kwelikweli kuona msomi ambaye anategemewa kama kiongozi wa kesho kufanya mambo ya ajabu namna hii .. haya ni ...
-
Hii ni picha ya moja kati ya wanachuo msichana akiwa hosteli na ..demu huyo sio siri anawachanganya wengi chuo hapo ikiwemo ma lectur....
-
Mrembo mwenye ushawishi mkubwa zaidi kwenye social media hapa Bongo, ambaye alishawahi kujinyakulia taji kubwa zaidi la ulimbwende hapa Bon...
-
Ikiwa leo ndio Uchaguzi wabunge wa Viti Maalum Kupitia Chama cha Mapinduzi Nchini katika Mkoa wa Singida Mgombea Wema Sepe...
-
Hz n baadh ya pcha za shilole akiwa na boy wake!! wakiwa kweny mapoz ya mahab ***** { clik here to see the video wakiwa wanaoga ...
-
john pombe magufuli Edward Ngoyai Lowassa. Uchunguzi uliofanywa na Timu ya Uwazi Mizengwe hivi karibuni na kuihusisha mikoa yote ya Ta...
-
Mwanamke aliye bambwa na sungusungu akifanya mapenzi kwenye kichaka na dereva wa teksi.Richard Bukos na Issa Mnally Mwanam...
-
Hzi n baadhi ya pcha za mastaa tofauti w KIKE hapa tz . sio siri n balaa coz sometmes najiuliza ! do they ril care???? ? ...
-
Kutoka kutangaza kutafuta mume Instagram hadi kukiri kumpenda Uhuru Kenyatta, Ray C anaendelea kutengeneza vichwa vya habari Afrika Masharik...
-
Blogu ya Wananchi Wednesday, August 19, 2015 TUJIKUMBUSHE HABARI KAMILI YA KAMATI TEULE YA BUNGE YA RICHMOND TAARIFA HII HAPA LIVE YA MWAKA ...
Friday 28 August 2015
amaxc blog: pichazzzz zilizo nifikia kuhusu ajali ya moto iliyo uwa watu 9 huko dar es saalam!!! jioneee
General News
Taarifa zimenifikia za Ajali ya Moto iliyouwa watu 9 Dar es Salaam… (picha)
Tangu mwaka 2015 umeanza tumesikia stori kadhaa za Ajali ya moto ikiwemo ile ya familia yenye watu sita wakiwa wamefariki ndani ya nyumbani chanzo kilisemakana ni itilafu ya Umeme, sasa hapa nakusogezea stori nyingine ya kusikitisha ambapo usiku wa kuamkia leo kumetokea ajali ya moto ilyouwa familia ya watu 9 wakiwa ndani ya nyumba maeneo Buguruni Dar es Salaam.
.
Kwa mujibu wa Katibu wa mtaa Amina Kichalala….’Mimi niliamshwa usiku na mume wangu akatuambia kwa jirani kuna moto ilikuwa n majira ya saa tisa usiku mara tunasikia sauti zao wanasema tuwasaidie moto ulikuwa ni mkubwa sana watu wakaanza kurusha mawe, wamejitahidi lakini moto ukawa mkubwa mpaka mida ya saa kumi na moja kasoro ndio zijaka fire kuuzima huo moto na kutoa miili ya watu tisa wakiwa washamefariki katika ajali hiyo ya moto’ – Amina
.
.
‘Sauti iliyosikika wakati tukio hilo la ajali ya moto ilikuwa ni ya msichana mdogo anaitwa Aisha yuko kama darasa la saba motto wa huyo Baba, katika hiyo nyumba alikuwa anaishi Mama Habilai, Mohamed, Ashlafu,Aisha na Bibi yao asiyejiweza kwasababu uwa wanamtoa kumpeleka hospitali na wageni kutoka Oman walioingia jana nao wamefariki’ – Amina
.
‘Majirani walifanya juhudi za kuuzima moto huo lakini hakuna kilichowezekana kwasababu moto ulikuwa ni mkubwa sana, uamuzi uliofuata ile miili 9 ya ndugu zetu imepelekwa muhimbili kuoshwa na kuzikwa katika makaburi ya Kisutu Dar es Salaam‘ -Amina
.
.Sehemu ya jiko baada ya kuteketea kwa moto
.
Unaweza uka bonyeza play kumsikiliza shuhuda wa tukio hilo la Ajali ya moto....klik here
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment