HELLOW!!! WELCOME THIS IS AMAxc THE GLOBAL MEDIA AND NEWS SUPPLIERS!!! amaxc.blogspot.com
Popular Posts
-
Duh hii ni aibu kwelikweli kuona msomi ambaye anategemewa kama kiongozi wa kesho kufanya mambo ya ajabu namna hii .. haya ni ...
-
Hii ni picha ya moja kati ya wanachuo msichana akiwa hosteli na ..demu huyo sio siri anawachanganya wengi chuo hapo ikiwemo ma lectur....
-
Mrembo mwenye ushawishi mkubwa zaidi kwenye social media hapa Bongo, ambaye alishawahi kujinyakulia taji kubwa zaidi la ulimbwende hapa Bon...
-
Ikiwa leo ndio Uchaguzi wabunge wa Viti Maalum Kupitia Chama cha Mapinduzi Nchini katika Mkoa wa Singida Mgombea Wema Sepe...
-
Hz n baadh ya pcha za shilole akiwa na boy wake!! wakiwa kweny mapoz ya mahab ***** { clik here to see the video wakiwa wanaoga ...
-
john pombe magufuli Edward Ngoyai Lowassa. Uchunguzi uliofanywa na Timu ya Uwazi Mizengwe hivi karibuni na kuihusisha mikoa yote ya Ta...
-
Mwanamke aliye bambwa na sungusungu akifanya mapenzi kwenye kichaka na dereva wa teksi.Richard Bukos na Issa Mnally Mwanam...
-
Hzi n baadhi ya pcha za mastaa tofauti w KIKE hapa tz . sio siri n balaa coz sometmes najiuliza ! do they ril care???? ? ...
-
Kutoka kutangaza kutafuta mume Instagram hadi kukiri kumpenda Uhuru Kenyatta, Ray C anaendelea kutengeneza vichwa vya habari Afrika Masharik...
-
Blogu ya Wananchi Wednesday, August 19, 2015 TUJIKUMBUSHE HABARI KAMILI YA KAMATI TEULE YA BUNGE YA RICHMOND TAARIFA HII HAPA LIVE YA MWAKA ...
Tuesday 25 August 2015
amaxc blog:pichazzz za baloteli akiwasili ac millan kufanyiwa vipimo vya afya!!!!..jionee here
Michezo
Pichaz za Balotelli akiwasili AC Milan kufanya vipimo vya afya
Mshambuliaji mtukutu ambaye amewahi kuvichezea vilabu kadhaa Mario Balotelli ameondoka Liverpool na kurejea katika klabu yake ya zamani ya AC Milan, Balotelli anarudi AC Milan ikiwa ni msimu mmoja umepita toka ajiunge na Liverpool akitokea AC Milan ya Italia kwa dau la pound milioni 16.
***baloteli akiwasili kweny ofisi za ac millan***** ilikufanyiwa vipimo vya afya Milan
Balotelli anarudi Italia katika klabu ya AC Milan kwa mkopo wa muda mrefu na tayari ameshafanyiwa vipimo vya afya na yupo tayari kukitumikia kikosi hicho.
Mshambuliaji huyo wa kiitaliano mwenye asili ya Ghana amerejea AC Milan akiwa na rekodi ya kucheza mechi 16 akiwa na Liverpool na kuifungia goli moja pekee.
” Nipo fiti nasubiri kufanya mazoezi na timu nina hamasa kubwa ninachotaka ni kufanya kazi na sio kuongea, nilifikiri nitarudi Milan siku moja? ndio siku zote Milan ipo katika moyo wangu na nilikuwa na matumaini kuwa nitarudi siku moja”>>> Balotelli
Baada ya kumaliza kufanyiwa vipimo vya afya
45
Rekodi ya Balotelli katika vilabu alivyochezea
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment