HELLOW!!! WELCOME THIS IS AMAxc THE GLOBAL MEDIA AND NEWS SUPPLIERS!!! amaxc.blogspot.com
Popular Posts
-
Duh hii ni aibu kwelikweli kuona msomi ambaye anategemewa kama kiongozi wa kesho kufanya mambo ya ajabu namna hii .. haya ni ...
-
Hii ni picha ya moja kati ya wanachuo msichana akiwa hosteli na ..demu huyo sio siri anawachanganya wengi chuo hapo ikiwemo ma lectur....
-
Mrembo mwenye ushawishi mkubwa zaidi kwenye social media hapa Bongo, ambaye alishawahi kujinyakulia taji kubwa zaidi la ulimbwende hapa Bon...
-
Ikiwa leo ndio Uchaguzi wabunge wa Viti Maalum Kupitia Chama cha Mapinduzi Nchini katika Mkoa wa Singida Mgombea Wema Sepe...
-
Hz n baadh ya pcha za shilole akiwa na boy wake!! wakiwa kweny mapoz ya mahab ***** { clik here to see the video wakiwa wanaoga ...
-
john pombe magufuli Edward Ngoyai Lowassa. Uchunguzi uliofanywa na Timu ya Uwazi Mizengwe hivi karibuni na kuihusisha mikoa yote ya Ta...
-
Mwanamke aliye bambwa na sungusungu akifanya mapenzi kwenye kichaka na dereva wa teksi.Richard Bukos na Issa Mnally Mwanam...
-
Hzi n baadhi ya pcha za mastaa tofauti w KIKE hapa tz . sio siri n balaa coz sometmes najiuliza ! do they ril care???? ? ...
-
Kutoka kutangaza kutafuta mume Instagram hadi kukiri kumpenda Uhuru Kenyatta, Ray C anaendelea kutengeneza vichwa vya habari Afrika Masharik...
-
Blogu ya Wananchi Wednesday, August 19, 2015 TUJIKUMBUSHE HABARI KAMILI YA KAMATI TEULE YA BUNGE YA RICHMOND TAARIFA HII HAPA LIVE YA MWAKA ...
Saturday 22 August 2015
amaxc blog: hii ndo kauli ya louis van gaal kwa kiongoz anaye laumiwa kumkosa pedro!!!!!! jionee mwenyew!!!
Michezo
Kauli ya Louis van Gaal kwa kiongozi anayelaumiwa kumkosa Pedro ipo hapa
Klabu ya Manchester United ya Uingereza bado haiamini kilichotokea kwa kocha wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho kumbadili uelekeo Pedro Rodriguez kutokea FC Barcelona kwenda katika klabu ya Chelsea na sio Manchester United kama ilivyokuwa awali.
Baada ya mpango wa kumpata Pedro kuyeyuka mashabiki na wapenzi wengi wa Man United wamekuwa wakipeleka lawama nyingi kwa makamu mwenyekiti wa Man United Ed Woodward kwa kushindwa kukamilisha mpango huo mapema kwani FC Barcelona na Man United walikuwa washakubaliana kuuziana nyota huyo.
Louis van Gaal
Simu moja pekee ilyotoka kwa Jose Mourinho kwenda kwa Pedro ilitosha kumfanya mshambuliaji huyo kubadili uelekeo wa kwenda na lawama zote kwenda kwa Ed Woodward kuwa ni mzembe kwani FC Barcelona walishakubali dau la pound milioni 21 ili kumuachia Pedro.
Sasa August 21 kocha wa klabu ya Man United Louis van Gaal amemkingia kifua makamu mwenyekiti wake kwa lawama anazotolewa na wapenzi na mashabiki wa klabu hiyo ila kwa upande wa Van Gaal bado anaimani na Ed Woodward.
“Nafikiri mnataka kututenganisha na Ed Woodward kamwe haiwezekani kwa sababu kila siku nimekuwa nikipokea vitu vipya kutoka kwake na namuamini sana sifikiri kama tunatakiwa kuwa na mashaka na Ed Woodward kwani amesha tuthibitishia kwa wachezaji wengi kwa miaka mingi amekuwa mtu sahii katika tukio sahii”>>> Louis van Gaal
Ed Woodward alisafiri jumatatu ya August 17 na kuelekea FC Barcelona kumaliza mpango wa kumsajili Pedro kwa ada ya uhamisho ya pound milioni 21.4 kabla siku tatu baadae kutangazwa kusajiliwa na mabingwa wa Ligi kuu Uingereza Chelsea
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment