Popular Posts

Sunday 23 August 2015

amaxc blog: mashindano ya tanzania movie talent (TMT)limefka tamat huku washind wakiwa n hawa hapa

August 22 imetoa jibu kamili la Tanzania Movie Talent (TMT) na zawadi ya million hamsini kwa mshindi wake kituambacho kilikuwa ni kidendawili kikubwa kwa wafuatiliaji wa TMT na wapigakura kwa sababu ya idadi kubwa ya washiriki ni uwezo mkubwa katika mashindano
List ya watu kumi ndio walioingia kwenye fainal na hatimaye meza ya Majaji imetoa zawadi hiyo kwa mshindi wa TMT Denis Lwasai ambaye ni msanii aliyewahi kufanya kazi na marehemu Steve Kanumba kipindi cha uhai wake miaka kadhaa iliyopita…
Screen Shot 2015-08-23 at 2.59.36 AM Screen Shot 2015-08-23 at 2.59.42 AM Lulu na mbona ndio walikuwa waondozaji wa sherehe ya kumpata mshindi wa tmt Screen Shot 2015-08-23 at 2.59.54 AM Screen Shot 2015-08-23 at 3.00.01 AM Washiriki wakionyesha uwezo wao mbele ya majaji Screen Shot 2015-08-23 at 3.00.07 AM Ray Kigosi kwa umakini akifuatilia mashindano ya TMT
Haikuwa raisi kwa Ray kuvumilia kuzuia machozi yake baada ya Mshindi kutangazwa na kuhusishwa kuwa anafanana sana na marehem Steve Kanumba

No comments:

Post a Comment