Popular Posts

Wednesday 26 August 2015

amaxc blog: huu hapa mpira maalum ambao utatumika kweny michuano ya klabu bingwa huko ulaya!!!!! jioneee ma photozzzz

<b>Michezo Huu ni mpira maalum utakaotumika katika michuano ya klabu Bingwa Ulaya 2015/2016 (Pichazzzz) Kabla ya kuanza kwa Ligi Kuu Uingereza na Ligi Kuu Hispania mashirikisho ya soka ya nchi husika huwa wanatangaza aina ya mpira utakaotumika katika msimu husika, tayari tumeshaona mpira unaotumika katika Ligi mbalimbali barani Ulaya.
News-Picture-UEFA August 26 umetangazwa mpira utakaotumika katika michuano ya klabu Bingwa Ulaya msimu huu, licha ya kuwa ulitumika katika mechi ya kwanza ya mchujo katika ya Manchester United dhidi ya Bruges lakini August 27 ni siku ambayo utazinduliwa rasmi mpira huo katika mji wa Marseille Ufaransa. Uzinduzi huo utapambwa na uwepo wa wachezaji wa vilabu vya Man United, Real Madrid, AC Milan, Bayern Munich, Chelsea na Juventus lakini ni siku ambayo droo ya makundi ya klabu Bingwa Ulaya itachezeshwa. Hizi ni picha za mpira huo utakao tumika!!!!

No comments:

Post a Comment