HELLOW!!! WELCOME THIS IS AMAxc THE GLOBAL MEDIA AND NEWS SUPPLIERS!!! amaxc.blogspot.com
Popular Posts
-
Duh hii ni aibu kwelikweli kuona msomi ambaye anategemewa kama kiongozi wa kesho kufanya mambo ya ajabu namna hii .. haya ni ...
-
Hii ni picha ya moja kati ya wanachuo msichana akiwa hosteli na ..demu huyo sio siri anawachanganya wengi chuo hapo ikiwemo ma lectur....
-
Mrembo mwenye ushawishi mkubwa zaidi kwenye social media hapa Bongo, ambaye alishawahi kujinyakulia taji kubwa zaidi la ulimbwende hapa Bon...
-
Ikiwa leo ndio Uchaguzi wabunge wa Viti Maalum Kupitia Chama cha Mapinduzi Nchini katika Mkoa wa Singida Mgombea Wema Sepe...
-
Hz n baadh ya pcha za shilole akiwa na boy wake!! wakiwa kweny mapoz ya mahab ***** { clik here to see the video wakiwa wanaoga ...
-
john pombe magufuli Edward Ngoyai Lowassa. Uchunguzi uliofanywa na Timu ya Uwazi Mizengwe hivi karibuni na kuihusisha mikoa yote ya Ta...
-
Mwanamke aliye bambwa na sungusungu akifanya mapenzi kwenye kichaka na dereva wa teksi.Richard Bukos na Issa Mnally Mwanam...
-
Hzi n baadhi ya pcha za mastaa tofauti w KIKE hapa tz . sio siri n balaa coz sometmes najiuliza ! do they ril care???? ? ...
-
Kutoka kutangaza kutafuta mume Instagram hadi kukiri kumpenda Uhuru Kenyatta, Ray C anaendelea kutengeneza vichwa vya habari Afrika Masharik...
-
Blogu ya Wananchi Wednesday, August 19, 2015 TUJIKUMBUSHE HABARI KAMILI YA KAMATI TEULE YA BUNGE YA RICHMOND TAARIFA HII HAPA LIVE YA MWAKA ...
Sunday 16 August 2015
amaxc blog: je umepitwa na mechi ya man city v/s chelsea???? ucjali jionee matokeo na video za magori yooote!!! live!! pichazz
Michezo
Man City Vs Chelsea matokeo ni haya Full time (Picha&Video)
Kocha wa klabu ya Manchester City Manuel Pellegrini bado ana endeleza harakati zake za kusaka taji la Ligi Kuu Uingereza linaloshikiliwa na klabu ya Chelsea kama bingwa mtetezi, August 16 timu hizo zimekutana na kucheza mchezo ambao umevuta hisia za walio wengi katika Uwanja wa Man City Etihad.
mc-ch
Bado hali sio nzuri kwa mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Uingereza Chelsea, August 16 Man City imevunja rekodi ya Chelsea kwani katika mechi zake 28 zilizopita za Ligi Kuu Uingereza Chelsea haijawahi kupoteza mchezo hata mmoja ila goli la dakika ya 31 la mshambuliaji wa Argentina Sergio Aguero lilianza kuikatisha tamaa Chelsea.
during the Barclays Premier League match between Manchester City and Chelsea at the Etihad Stadium on August 16, 2015 in Manchester, England.
Mchezo umemalizika kwa klabu ya Man City kuibuka na ushindi wa jumla ya goli 3-0 magoli ya kifungwa na Sergio Aguero dakika ya 31, Vicent Kompany dakika ya 79 na goli la mwisho likifungwa na Fernandinho dakika ya 85, hii ni wiki ya tatu mfululizo Chelsea kutopata matokeo mazuri kwani ilifungwa na Arsenal katika mechi ya Ngao ya Hisani baada ya hapo ikafuatia sare ya goli 2-2 na Swansea City.
Hizi ni picha za mechi mtu wangu
***asante sana mtu wangu!!! endelea kuifatilia amaxc blog!!! for hot updatesss!!klik hapa ujionee magori yakifungwa live
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment