Popular Posts

Sunday 16 August 2015

amaxc blog: duh baada ya kumtosa lowassa.. dr nchimbi akutana live leo na magufuri!!!!! jionee kilicho zungumzwa kuhusu uk....!!!

Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli akiteta jambo na Dk. Emmanuel Nchimbi.
Dk.Emmanuel Nchimbi akiteta jambo na Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete.
Dk. Emmanuel Nchimbi akizungumza na wajumbe wa Baraza la Vijana wa CCM Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia kwenye Baraza la Vijana wa CCM.

No comments:

Post a Comment