HELLOW!!! WELCOME THIS IS AMAxc THE GLOBAL MEDIA AND NEWS SUPPLIERS!!! amaxc.blogspot.com
Popular Posts
-
Duh hii ni aibu kwelikweli kuona msomi ambaye anategemewa kama kiongozi wa kesho kufanya mambo ya ajabu namna hii .. haya ni ...
-
Hii ni picha ya moja kati ya wanachuo msichana akiwa hosteli na ..demu huyo sio siri anawachanganya wengi chuo hapo ikiwemo ma lectur....
-
Mrembo mwenye ushawishi mkubwa zaidi kwenye social media hapa Bongo, ambaye alishawahi kujinyakulia taji kubwa zaidi la ulimbwende hapa Bon...
-
Ikiwa leo ndio Uchaguzi wabunge wa Viti Maalum Kupitia Chama cha Mapinduzi Nchini katika Mkoa wa Singida Mgombea Wema Sepe...
-
Hz n baadh ya pcha za shilole akiwa na boy wake!! wakiwa kweny mapoz ya mahab ***** { clik here to see the video wakiwa wanaoga ...
-
john pombe magufuli Edward Ngoyai Lowassa. Uchunguzi uliofanywa na Timu ya Uwazi Mizengwe hivi karibuni na kuihusisha mikoa yote ya Ta...
-
Mwanamke aliye bambwa na sungusungu akifanya mapenzi kwenye kichaka na dereva wa teksi.Richard Bukos na Issa Mnally Mwanam...
-
Hzi n baadhi ya pcha za mastaa tofauti w KIKE hapa tz . sio siri n balaa coz sometmes najiuliza ! do they ril care???? ? ...
-
Kutoka kutangaza kutafuta mume Instagram hadi kukiri kumpenda Uhuru Kenyatta, Ray C anaendelea kutengeneza vichwa vya habari Afrika Masharik...
-
Blogu ya Wananchi Wednesday, August 19, 2015 TUJIKUMBUSHE HABARI KAMILI YA KAMATI TEULE YA BUNGE YA RICHMOND TAARIFA HII HAPA LIVE YA MWAKA ...
Friday 22 July 2016
BELLA KUWEKA HISTORIA LEO DODOMA>> KUKIWASHA ROYAL VILLAGE.....
BELLA KING of The Best Melodies, Christian Bella ‘Obama’ leo anatarajiwa kuweka historia kwa kufanya bonge moja la shoo ndani ya Ukumbi wa Royal Village, Dodoma.
Akizungumza na Mtandao wa Global Publishers mratibu wa shoo hiyo, Renatus Gregory alisema kuwa kila kitu kimekamilika na kinachosubiriwa ni shoo ya kihistoria sambamba na sapraizi kibao.
“Njooni tuweke historia pamoja ambapo kutakuwa pia na DVD za maisha ya Bella kimuziki kwa muda wa miaka 10 tangu aingie nchini.
“Shoo itakuwa ni ya Live
kwa kutumia vyombo, nina imani mashabiki watafurahia kwani pia Malaika Band itaambatana na Bella,” alisema Renatus.
Mashabiki watatakiwa kulipia kiingilio kiduchu cha shilingi 30,000 kwa VIP na kawaida shilingi 10,000.
Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to Facebook
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment