Popular Posts

Friday 22 July 2016

TAARIFA ZA SHOGA KUMDAI BARAKA DA PRINCE.....UKWELI WOTE HUU HAPA

Baraka da Prince na Naj (Mpenzi wake)
Wiki hii Baraka da Prince alipata scandal nzito, baada ya page moja yaInstagram inayotumia jina la Kaoge kumtaja msanii huyo kuwa anadaiwa mtonyo flani na katika kumkwepa mdaiwa wake ameamua kumblock Kaoge.Account hiyo ikazidi kudai kuwa itafichua msg zote walizowahi kuandikiana naBaraka da Prince.

Baada ya Kimbembe hicho Baraka da Prince ameamuakuchukua hatua hizi hapa Msikilize kwenye Audio hapo chini.

No comments:

Post a Comment