Popular Posts

Saturday, 18 July 2015

AMAxc BLOG: MAELFU WAMLAKI MAGUFURI HUKO MWANZA!!!

Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia
Wananchi wa jiji la Mwanza waliojitokeza
kwa wingi jioni ya leo.
Mgombea Uraisi kwa tiketi ya chama cha
Mapinduzi (CCM),Mh.Dkt John Pombe
Magufuli akiwasalimia wanachama wa
chama hicho pamoja na Wananchi wa jiji
la Mwanza na vitongoji vyake,nje ya ofisi
za CCM mkoa,ambao walijotokeza kumlaki
kwa shange na furaha kubwa.Dkt Magufuli
amewasili leo jijini Mwanza akitokea jijini
Dar kwa ajili ya kujitambulisha kwa
wanachama wa chama hicho pamoja na
wananchi kwa ujumla.
Mgombea Uraisi kwa tiketi ya chama cha
Mapinduzi (CCM),Mh.Dkt John Pombe
Magufuli akiwasalimia wananchi
alipokuwa akiwasili jijini Mwanza jioni ya
leo akiwa ameambatana na baadhi ya
viongozi wa juu wa chama cha
CCM,Magufuli yuko jijini Mwanza
kujitambulisha kwa Wananchi.
Mke wa Mgombea Uraisi kwa tiketi ya
chama cha Mapinduzi Dkt.John Pombe
Magufuli,Mama Janeth Magufuli
akiwasalimia Wakazi wa jiji la Mwanza na
vitongoji vyake waliojiotokeza kwa wingi
kuwapokea,Pichani kulia ni Katibu wa NEC
Itikadi na Uenezi Nape Nnauye.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape
Nnauye akizungumza machache kabla ya
kumkaribisha Mgombea Uraisi kwa tiketi
ya chama cha Mapinduzi (CCM),Mh.Dkt
John Pombe Magufuli kujitambulisha kwa
wanachama wa chama hicho pamoja na
Wananchi wa jiji la Mwanza na vitongoji
vyake,nje ya ofisi za CCM mkoa wa
Mwanza.
Baadhi ya Wananchi wakilikimbiza gari
la  Mgombea Uraisi CCM,Mh.Dkt John
Pombe Magufuli kwa shangwe kama
waonekanavyo pichani ,wakati Magufuli
lipokuwa akiwasili jijini Mwanza kwa ajili
ya kujitambulisha kwa wanachama wa
chama hicho pamoja na Wananchi kwa
ujumla jioni ya leo.
Baadhi ya Wananchi wa jiji la Mwanza
wakiwa wamefunga barabara kwa muda
wakishangilia ujio wa Mgombea Uraisi wa
CCM,Mh.Dkt John Pombe Magufuli
alipokuwa akiwasili jijini Mwanza kwa
ajili ya kujitambulisha kwa wanachama
wa chama hicho pamoja na Wananchi kwa
ujumla jioni ya leo.mchana.PICHA NA
AMAxc™
PICHA ZAIDI BOFYA HAP

No comments:

Post a Comment