Rafiki amefungua roho juu ya Ray C... Hebu tumsikilize, na Mungu akujalie katika mpango huu, uufanikishe!
MY FUTURE WIFE REHEMA CHALAMILA
Najua umepokea simu nyingi za watu tofauti wanaotangaza nia juu yako, kwa kile ulchowai kukipost ya kuwa unahtaj mwanaume ambae atakuwa mumeo halali. Ila kiupande wangu ckuhitaji kukupigia simu wala kukumia ujumbe wowote ule nilichohtaji ni kuonana nawewe nikuelezdm hisia zangu face to face. Na ndiomaana nililazmika kufunga safari ktk mahala nilpo adi ofisini kwako Mwananyala Koma Koma ,lakn kwa nzuri au mbaya nilpofika ktk jengo ambalo ndo ipo ofisi yako niliambiwa kuwa umeama japo awakunielekeza ulpoamia. Nilichofanya ni kufunga safari adi Mwananyamala Hospital ambapo uwa unaenda kunywa dawa Methadon. Lakin nilpofka niliambiwa kuwa muda wa kuona wagonjwa ulikuwa umeisha ,bado sikukata tamaa nililazimika kufika BAMAGA ofisi za grobal publisherz na kujarbu kuwaelezea na kutaka kujua unapopatkana. Ndpo kwa ushirikiano wao walinielekeza kuwa unaishi BUNJU lakini bado sikukata tamaa kwakuwa dhamila yangu ni kuonana nawew. Nilifunga tena safari ktk Bamaga adi Bunju ,nilpofka nilijarbu kuulza kwa wenyeji wa pale wanielekeze unapoishi. Ndpo nikapata wenyej wawili ambao walinileta adi getin kwako, nilpogonga geti alikuja binti mmoja alifungua geti na kuniulza shda yangu. Nilpomueleza kuwa nina shda nawew alinijbu kuwa umetoka labda nijarbu kuja jioni, ilinibidi nigeuze na kuanza kuondoka. Wakat naondoka na wenyej wangu mamy wako alitoka ndani na kutuita, tulpokwenda akajarbu ku2ulza maswali kadhaa nami nilpomjbu kuw tulikuw na shda kimaswala ya sanaa mama ikabid atupatie number yako, na nilijarbu kumuulzia ulpoamishia ofisi yako aliniambia kuw unapatkana Mikocheni B, Ndpo nikamuaga na kurud zangu nyumban. Ktk moyoni nayasema haya adhalani na hii yote nahtaj niudhiilshie umma kuwa Nampenda Ray C na npo tayar kutimiza kile alchokiandka kwan naamini nna vgezo vyote alvyo violodhesha. Km ukinpa nafasi ntatimiza wajbu wangu wa kukupa furaha kama mumeo wa ndoa Nakupenda sana . Kwa mawasiliano me napatkana kupitia number +255 653 859542 Email Dozeeabou22@gmail.com
HELLOW!!! WELCOME THIS IS AMAxc THE GLOBAL MEDIA AND NEWS SUPPLIERS!!! amaxc.blogspot.com
Popular Posts
-
Duh hii ni aibu kwelikweli kuona msomi ambaye anategemewa kama kiongozi wa kesho kufanya mambo ya ajabu namna hii .. haya ni ...
-
Hii ni picha ya moja kati ya wanachuo msichana akiwa hosteli na ..demu huyo sio siri anawachanganya wengi chuo hapo ikiwemo ma lectur.... ...
-
Mrembo mwenye ushawishi mkubwa zaidi kwenye social media hapa Bongo, ambaye alishawahi kujinyakulia taji kubwa zaidi la ulimbwende hapa Bon...
-
Ikiwa leo ndio Uchaguzi wabunge wa Viti Maalum Kupitia Chama cha Mapinduzi Nchini katika Mkoa wa Singida Mgombea Wema Sepe...
-
Hz n baadh ya pcha za shilole akiwa na boy wake!! wakiwa kweny mapoz ya mahab ***** { clik here to see the video wakiwa wanaoga ...
-
john pombe magufuli Edward Ngoyai Lowassa. Uchunguzi uliofanywa na Timu ya Uwazi Mizengwe hivi karibuni na kuihusisha mikoa yote ya Ta...
-
Mwanamke aliye bambwa na sungusungu akifanya mapenzi kwenye kichaka na dereva wa teksi.Richard Bukos na Issa Mnally Mwanam...
-
Hzi n baadhi ya pcha za mastaa tofauti w KIKE hapa tz . sio siri n balaa coz sometmes najiuliza ! do they ril care???? ? ...
-
Kutoka kutangaza kutafuta mume Instagram hadi kukiri kumpenda Uhuru Kenyatta, Ray C anaendelea kutengeneza vichwa vya habari Afrika Masharik...
-
Blogu ya Wananchi Wednesday, August 19, 2015 TUJIKUMBUSHE HABARI KAMILI YA KAMATI TEULE YA BUNGE YA RICHMOND TAARIFA HII HAPA LIVE YA MWAKA ...
Saturday, 18 July 2015
AMAxc BLOG: RAY C KUTANGAZA NIA YA KUOLEWA!!! NA HUYU NDO ALIYE JITOKEZA!!! Mmmmmh
Labels:
amaxc™
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment