Picha hiyo imepigwa na chombo kisicho na
binadamu kilichotumwa kwenye safari hiyo
ambacho kilisafiri umbali wa kilometa bilion saba na
tano.
Chombo hicho jana jumanne kilitua kwenye sayari
hiyo.
Katika mkutano na waandishi wa habari katika chuo
Kikuu cha Johns Hopkins kilichopo Maryland
Marekani, Mkuu wa utafiti wa sayari hiyo Alan Stern
hakusita kuonyesha furaha yake.
"Jana ilikuwa ni siku nzuri na ya kipee kwangu, vipi
kwenu."
Mkuu huyo wa utafiti Alan Stern amesema chombo
hicho cha anga kimekusanya taarifa nyingi kutoka
kwenye sayari hiyo.
"Sawa chombo chetu cha New Horizons
kimekwenda sasa zaidi ya mile milioni moja.
Zaidi ya kilometa moja na nusu upande wa pili wa
Pluto, hivyo ndivyo tunavyokwenda kwa haraka
tumefikia karibu na sayari hiyo hapo jana asubuhi.
Chombo chetu cha anga kipo katika hali nzuri,
kinafanya mawasiliano na dunia kwa mara nyingine
mara kwa mara kwa masaa kuanzia asubuhi saa 11
na dakika 50.
Tayari tumepata data kutoka kwenye vifaa vya
kisayansi vipatavyo vitano, na tutatoa taarifa
kuhusu matokeo tuliyopata, lakini ukweli ni kwamba
tunachunguza
HELLOW!!! WELCOME THIS IS AMAxc THE GLOBAL MEDIA AND NEWS SUPPLIERS!!! amaxc.blogspot.com
Popular Posts
-
Duh hii ni aibu kwelikweli kuona msomi ambaye anategemewa kama kiongozi wa kesho kufanya mambo ya ajabu namna hii .. haya ni ...
-
Hii ni picha ya moja kati ya wanachuo msichana akiwa hosteli na ..demu huyo sio siri anawachanganya wengi chuo hapo ikiwemo ma lectur.... ...
-
Mrembo mwenye ushawishi mkubwa zaidi kwenye social media hapa Bongo, ambaye alishawahi kujinyakulia taji kubwa zaidi la ulimbwende hapa Bon...
-
Ikiwa leo ndio Uchaguzi wabunge wa Viti Maalum Kupitia Chama cha Mapinduzi Nchini katika Mkoa wa Singida Mgombea Wema Sepe...
-
Hz n baadh ya pcha za shilole akiwa na boy wake!! wakiwa kweny mapoz ya mahab ***** { clik here to see the video wakiwa wanaoga ...
-
john pombe magufuli Edward Ngoyai Lowassa. Uchunguzi uliofanywa na Timu ya Uwazi Mizengwe hivi karibuni na kuihusisha mikoa yote ya Ta...
-
Mwanamke aliye bambwa na sungusungu akifanya mapenzi kwenye kichaka na dereva wa teksi.Richard Bukos na Issa Mnally Mwanam...
-
Hzi n baadhi ya pcha za mastaa tofauti w KIKE hapa tz . sio siri n balaa coz sometmes najiuliza ! do they ril care???? ? ...
-
Kutoka kutangaza kutafuta mume Instagram hadi kukiri kumpenda Uhuru Kenyatta, Ray C anaendelea kutengeneza vichwa vya habari Afrika Masharik...
-
Blogu ya Wananchi Wednesday, August 19, 2015 TUJIKUMBUSHE HABARI KAMILI YA KAMATI TEULE YA BUNGE YA RICHMOND TAARIFA HII HAPA LIVE YA MWAKA ...
Friday, 17 July 2015
HII NDO PICHA YA KWANZA KURUSHWA YA SAYARI PLUTO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment