Popular Posts

Thursday 24 September 2015

amaxc blog: hii hapa kali!!!! jamaa afunga ndoa na nyoka.... jionee mwenyew

Mwanaume aliyefuunga ndoa na nyoka Watu zaidi ya 15,000 wamekusanyika kushuhudia ndoa ya mtu na nyoka kwenye kijiji cha Badwapur jimboni Uttar nchini india. Sandeep Patel mwenye umri wa miaka 27 amedai kuwa wakati wa usiku mwanamke huyo ugeuka kuwa nyoka lakini mchana anaonekana kama mwanamke mrembo kwahiyo hawezi kumuacha maana waliahidiana kufunga ndoa siku ya pasaka. Pia inasemekana kuwa wakati Sandeep akiwa mdogo alikuwa anachezesha ulimi wake na kutembea kama nyoka. Polisi jimboni Uttar baada ya kupata taarifa hizo walivunja harusi hiyo na kuwatia mbaroni watu wawili ambao ni baba wa Sandeep na bwana harusi mwenye Lakini hili limekuwa siyo tukio la kwanza kutokea nchini humo maana miaka tisa iliyopita mwanamke mmoja aliolewa na nyoka kwenye kijiji cha Tala jimboni Orissa.

No comments:

Post a Comment