HELLOW!!! WELCOME THIS IS AMAxc THE GLOBAL MEDIA AND NEWS SUPPLIERS!!! amaxc.blogspot.com
Popular Posts
-
Duh hii ni aibu kwelikweli kuona msomi ambaye anategemewa kama kiongozi wa kesho kufanya mambo ya ajabu namna hii .. haya ni ...
-
Hii ni picha ya moja kati ya wanachuo msichana akiwa hosteli na ..demu huyo sio siri anawachanganya wengi chuo hapo ikiwemo ma lectur....
-
Mrembo mwenye ushawishi mkubwa zaidi kwenye social media hapa Bongo, ambaye alishawahi kujinyakulia taji kubwa zaidi la ulimbwende hapa Bon...
-
Ikiwa leo ndio Uchaguzi wabunge wa Viti Maalum Kupitia Chama cha Mapinduzi Nchini katika Mkoa wa Singida Mgombea Wema Sepe...
-
Hz n baadh ya pcha za shilole akiwa na boy wake!! wakiwa kweny mapoz ya mahab ***** { clik here to see the video wakiwa wanaoga ...
-
john pombe magufuli Edward Ngoyai Lowassa. Uchunguzi uliofanywa na Timu ya Uwazi Mizengwe hivi karibuni na kuihusisha mikoa yote ya Ta...
-
Mwanamke aliye bambwa na sungusungu akifanya mapenzi kwenye kichaka na dereva wa teksi.Richard Bukos na Issa Mnally Mwanam...
-
Hzi n baadhi ya pcha za mastaa tofauti w KIKE hapa tz . sio siri n balaa coz sometmes najiuliza ! do they ril care???? ? ...
-
Kutoka kutangaza kutafuta mume Instagram hadi kukiri kumpenda Uhuru Kenyatta, Ray C anaendelea kutengeneza vichwa vya habari Afrika Masharik...
-
Blogu ya Wananchi Wednesday, August 19, 2015 TUJIKUMBUSHE HABARI KAMILI YA KAMATI TEULE YA BUNGE YA RICHMOND TAARIFA HII HAPA LIVE YA MWAKA ...
Monday 21 September 2015
amaxc blog: Uliipata Whatsapp ya kampuni za simu Tz kuagizwa kuzima DATA? majibu sahihi yako hapa...
Siasa:
Uliipata Whatsapp ya kampuni za simu Tz kuagizwa kuzima DATA? majibu sahihi yako hapa
September 20 2015 nakuwa miongoni mwa Watanzania walioziona taarifa kupitia Whatsapp na mitandao mingine ya kijamii kwamba Umoja wa makampuni ya mawasiliano Tanzania umetoa tamko la kupokea maagizo kutoka tume ya taifa ya uchaguzi kwamba kuanzia October 24 2015 mpaka October 26 kampuni hizi ziondoe mfumo wa DATA kwa Wateja wake wote ili kuzuia usambazwaji wa taarifa za kupotosha kuhusu uchaguzi mkuu.
Dakika chache baadae nikakutana na maneno ya January Makamba ambaye ni Naibu waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia ambapo kupitia Twitter page yake ambayo ni Verified aliandika >>>klik hapa uone mojamoja nn makamba alitweet kweny twiter page yake ‘Taarifa inayoenezwa mitandaoni kwamba mifumo ya data itazimwa tarehe 24-26 Oktoba si ya kweli. Jitihada za kuhamisha mijadala hazitafanikiwa‘
Kwenye sentensi ya pili akaandika >>>sorry!!!! klik here to see directly what makamba twited ‘Taarifa hiyo ina tarehe 19.09.2014. Waliotengeneza hawakuwa waangalifu. Pia Bw. Rene Meza, aliyesemekana kaiandika ameandoka nchini kitambo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment