HELLOW!!! WELCOME THIS IS AMAxc THE GLOBAL MEDIA AND NEWS SUPPLIERS!!! amaxc.blogspot.com
Popular Posts
-
Duh hii ni aibu kwelikweli kuona msomi ambaye anategemewa kama kiongozi wa kesho kufanya mambo ya ajabu namna hii .. haya ni ...
-
Hii ni picha ya moja kati ya wanachuo msichana akiwa hosteli na ..demu huyo sio siri anawachanganya wengi chuo hapo ikiwemo ma lectur....
-
Mrembo mwenye ushawishi mkubwa zaidi kwenye social media hapa Bongo, ambaye alishawahi kujinyakulia taji kubwa zaidi la ulimbwende hapa Bon...
-
Ikiwa leo ndio Uchaguzi wabunge wa Viti Maalum Kupitia Chama cha Mapinduzi Nchini katika Mkoa wa Singida Mgombea Wema Sepe...
-
Hz n baadh ya pcha za shilole akiwa na boy wake!! wakiwa kweny mapoz ya mahab ***** { clik here to see the video wakiwa wanaoga ...
-
john pombe magufuli Edward Ngoyai Lowassa. Uchunguzi uliofanywa na Timu ya Uwazi Mizengwe hivi karibuni na kuihusisha mikoa yote ya Ta...
-
Mwanamke aliye bambwa na sungusungu akifanya mapenzi kwenye kichaka na dereva wa teksi.Richard Bukos na Issa Mnally Mwanam...
-
Hzi n baadhi ya pcha za mastaa tofauti w KIKE hapa tz . sio siri n balaa coz sometmes najiuliza ! do they ril care???? ? ...
-
Kutoka kutangaza kutafuta mume Instagram hadi kukiri kumpenda Uhuru Kenyatta, Ray C anaendelea kutengeneza vichwa vya habari Afrika Masharik...
-
Blogu ya Wananchi Wednesday, August 19, 2015 TUJIKUMBUSHE HABARI KAMILI YA KAMATI TEULE YA BUNGE YA RICHMOND TAARIFA HII HAPA LIVE YA MWAKA ...
Monday 21 September 2015
amaxc blog: ile newz ya panya walio vamia gereza huko afrika kusini na kupelekea vifo vya baadh ya wafungwa hii hapa nmekusogezea!!!! livee
General News:
Panya wamevamia Gereza, story ni wafungwa kuhamishwa..
Panya akiingia ndani ya nyumba na kuanza kusababisha uharibifu wake, hapo ndio ambapo unaanza kuonekana umuhimu wa kufuga paka.
Zaidi ya wafungwa 4,000 wamehamishwa kutoka ndani ya gereza la Pollsmoor lililopo Afrika Kusini baada ya panya kuvamia gereza hilo na kusababisha vifo vya wafungwa wawili.
ris
Mmoja wa viongozi wa gereza hilo Manelisi Wolela, amesema wamelazimika kuwahamisha wafungwa hao hadi pale watakapowaangamiza panya hao.
Amesema panya hao wamesababisha magonjwa kwa wafungwa na kuleta usumbufu mkubwa.
Gereza la Pollsmoor pia limeingia kwenye Historia ambapo Hayati Nelson Mandela aliwahi kufungwa katika gereza hilo wakati akiwa kwenye harakati za kutafuta Uhuru wa South Africa.
Tatizo ambalo limepelekea mpaka Wafungwa kufariki linatokana na magonjwa ambayo yanasababishwa na mkojo wa panya
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment