HELLOW!!! WELCOME THIS IS AMAxc THE GLOBAL MEDIA AND NEWS SUPPLIERS!!! amaxc.blogspot.com
Popular Posts
-
Duh hii ni aibu kwelikweli kuona msomi ambaye anategemewa kama kiongozi wa kesho kufanya mambo ya ajabu namna hii .. haya ni ...
-
Hii ni picha ya moja kati ya wanachuo msichana akiwa hosteli na ..demu huyo sio siri anawachanganya wengi chuo hapo ikiwemo ma lectur....
-
Mrembo mwenye ushawishi mkubwa zaidi kwenye social media hapa Bongo, ambaye alishawahi kujinyakulia taji kubwa zaidi la ulimbwende hapa Bon...
-
Ikiwa leo ndio Uchaguzi wabunge wa Viti Maalum Kupitia Chama cha Mapinduzi Nchini katika Mkoa wa Singida Mgombea Wema Sepe...
-
Hz n baadh ya pcha za shilole akiwa na boy wake!! wakiwa kweny mapoz ya mahab ***** { clik here to see the video wakiwa wanaoga ...
-
john pombe magufuli Edward Ngoyai Lowassa. Uchunguzi uliofanywa na Timu ya Uwazi Mizengwe hivi karibuni na kuihusisha mikoa yote ya Ta...
-
Mwanamke aliye bambwa na sungusungu akifanya mapenzi kwenye kichaka na dereva wa teksi.Richard Bukos na Issa Mnally Mwanam...
-
Hzi n baadhi ya pcha za mastaa tofauti w KIKE hapa tz . sio siri n balaa coz sometmes najiuliza ! do they ril care???? ? ...
-
Kutoka kutangaza kutafuta mume Instagram hadi kukiri kumpenda Uhuru Kenyatta, Ray C anaendelea kutengeneza vichwa vya habari Afrika Masharik...
-
Blogu ya Wananchi Wednesday, August 19, 2015 TUJIKUMBUSHE HABARI KAMILI YA KAMATI TEULE YA BUNGE YA RICHMOND TAARIFA HII HAPA LIVE YA MWAKA ...
Wednesday 16 September 2015
amaxc blog: je ulipitwa na mechi ya kwanza ya man united ulaya msimu huu????!!! jionee hapa
Michezo
Matokeo ya mechi ya kwanza ya Man United ulaya msimu huu haya hapa
Baada ya kukosa michuano ya ulaya kwa msimu uliopita, hatimaye usiku wa leo Manchester United imerejea rasmi katika michuano hii mikubwa barani humo kwa ngazi ya vilabu.
Vijana wa Louis Van Gaal walisafiri mpaka Uholanzi, nyumbani kwa kocha wao, kucheza na klabu ya PSV.
Mchezo hup umemalizika kwa Manchester kupata mapigo mawili kutoka kwenye mechi hiyo, baada ya kukubali kipigo cha 2-1 na pigp lingine ikiwa ni kuumia vibaya kwa mchezaji wao tegemeo Luke Shaw.
Manchester United walianza kuliona lango la PSV katika dakika ya 41, goli likifungwa na kijana aliyenunuliwa kutoka PSV – Memphis Depay, lakini sekunde kadhaa kabla ya mchezo kwenda mapumziko PSV wakasawazisha kupitia kwa Moreno.
Kipindi cha Narsingh aliifungia PSV goli la ushindi katika dakika ya 57.
MATOKEO MENGINE YA MECHI ZA LEO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment