HELLOW!!! WELCOME THIS IS AMAxc THE GLOBAL MEDIA AND NEWS SUPPLIERS!!! amaxc.blogspot.com
Popular Posts
-
Duh hii ni aibu kwelikweli kuona msomi ambaye anategemewa kama kiongozi wa kesho kufanya mambo ya ajabu namna hii .. haya ni ...
-
Hii ni picha ya moja kati ya wanachuo msichana akiwa hosteli na ..demu huyo sio siri anawachanganya wengi chuo hapo ikiwemo ma lectur....
-
Mrembo mwenye ushawishi mkubwa zaidi kwenye social media hapa Bongo, ambaye alishawahi kujinyakulia taji kubwa zaidi la ulimbwende hapa Bon...
-
Ikiwa leo ndio Uchaguzi wabunge wa Viti Maalum Kupitia Chama cha Mapinduzi Nchini katika Mkoa wa Singida Mgombea Wema Sepe...
-
Hz n baadh ya pcha za shilole akiwa na boy wake!! wakiwa kweny mapoz ya mahab ***** { clik here to see the video wakiwa wanaoga ...
-
john pombe magufuli Edward Ngoyai Lowassa. Uchunguzi uliofanywa na Timu ya Uwazi Mizengwe hivi karibuni na kuihusisha mikoa yote ya Ta...
-
Mwanamke aliye bambwa na sungusungu akifanya mapenzi kwenye kichaka na dereva wa teksi.Richard Bukos na Issa Mnally Mwanam...
-
Hzi n baadhi ya pcha za mastaa tofauti w KIKE hapa tz . sio siri n balaa coz sometmes najiuliza ! do they ril care???? ? ...
-
Kutoka kutangaza kutafuta mume Instagram hadi kukiri kumpenda Uhuru Kenyatta, Ray C anaendelea kutengeneza vichwa vya habari Afrika Masharik...
-
Blogu ya Wananchi Wednesday, August 19, 2015 TUJIKUMBUSHE HABARI KAMILI YA KAMATI TEULE YA BUNGE YA RICHMOND TAARIFA HII HAPA LIVE YA MWAKA ...
Sunday 20 September 2015
amaxc blog: matokeo ya man city v/s west hamm yako hapa!$! jionee pchazzzz
Michezo:
Matokeo ya Man City Vs West Ham United yapo hapa (+Pichaz&Video)
Klabu ya Manchester City ya Uingereza September 19 imeikaribisha klabu ya West Ham United katika uwanja wake wa nyumbani Etihad kucheza mechi ya muendelezo wa Ligi Kuu soka Uingereza… Man City ikiwa katika uwanja wake wa nyumbani kucheza mchezo wake wa sita wa Ligi Kuu imekubali kipigigo kutoka kwa West Ham United.
Manchester City ambayo iliingia uwanjani ikiwa na rekodi nzuri toka kuanza kwa Ligi Kuu msimu huu, kwani kabla ya kucheza mechi dhidi ya West Ham ilikuwa imecheza mechi tano na kushinda zote, September 19 imepokea kipigo cha goli 2-1 kutoka kwa West Ham United, magoli ya West Ham yakifungwa na Victor Moses dakika ya 6 na Diafra Sakho dakika ya 31 ya mchezo huku goli pekee la Man City likitiwa wavuni na Kevin de Bruyne dakika ya 45.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment