HELLOW!!! WELCOME THIS IS AMAxc THE GLOBAL MEDIA AND NEWS SUPPLIERS!!! amaxc.blogspot.com
Popular Posts
-
Duh hii ni aibu kwelikweli kuona msomi ambaye anategemewa kama kiongozi wa kesho kufanya mambo ya ajabu namna hii .. haya ni ...
-
Hii ni picha ya moja kati ya wanachuo msichana akiwa hosteli na ..demu huyo sio siri anawachanganya wengi chuo hapo ikiwemo ma lectur....
-
Mrembo mwenye ushawishi mkubwa zaidi kwenye social media hapa Bongo, ambaye alishawahi kujinyakulia taji kubwa zaidi la ulimbwende hapa Bon...
-
Ikiwa leo ndio Uchaguzi wabunge wa Viti Maalum Kupitia Chama cha Mapinduzi Nchini katika Mkoa wa Singida Mgombea Wema Sepe...
-
Hz n baadh ya pcha za shilole akiwa na boy wake!! wakiwa kweny mapoz ya mahab ***** { clik here to see the video wakiwa wanaoga ...
-
john pombe magufuli Edward Ngoyai Lowassa. Uchunguzi uliofanywa na Timu ya Uwazi Mizengwe hivi karibuni na kuihusisha mikoa yote ya Ta...
-
Mwanamke aliye bambwa na sungusungu akifanya mapenzi kwenye kichaka na dereva wa teksi.Richard Bukos na Issa Mnally Mwanam...
-
Hzi n baadhi ya pcha za mastaa tofauti w KIKE hapa tz . sio siri n balaa coz sometmes najiuliza ! do they ril care???? ? ...
-
Kutoka kutangaza kutafuta mume Instagram hadi kukiri kumpenda Uhuru Kenyatta, Ray C anaendelea kutengeneza vichwa vya habari Afrika Masharik...
-
Blogu ya Wananchi Wednesday, August 19, 2015 TUJIKUMBUSHE HABARI KAMILI YA KAMATI TEULE YA BUNGE YA RICHMOND TAARIFA HII HAPA LIVE YA MWAKA ...
Wednesday 16 September 2015
amaxc blog: rekod mpya za ronaldo na matokeo ya madrid v/s shaktar haya......!!!!
Michezo:
Rekodi mpya za Ronaldo na matokeo ya Real Madrid vs Shakhtar nimekuwekea hapa
Msimu mpya wa ligi ya mabingwa wa ulaya umefunguliwa leo rasmi kwa michezo 8 kuchezwa katika viwanja tofauti barani humo.
Mabingwa wa kihistoria wa kombe hilo, klabu ya Real Madrid ikiwa nyumbani katika dimba la Santiago Bernabeu leo imefungua michuano hiyo kwa ushindi mnono wa 4-0 dhidi ya Shakhtar Donestski ya Ukraine.
Akitoka kufunga magoli matano katika mchezo uliopita wa jumamosi, mwanasoka bora wa dunia Cristiano Ronaldo leo alifunga magoli matatu kati manne ya Madrid, huku Karim Benzema akifunga lingine.
Benzema alianza kufunga dakika ya 30, Ronaldo akaongeza mengine dakika ya 55’ (p), 63’ (p), 81’ na hivyo kuweka rekodi ya kufunga jumla ya magoli 80 katika historia ya michuano hiyo.
Magoli matati ya leo yanamfanya Ronaldo kuwa mfungaji bora wa muda wa Champions League huku akifikisha jumla ya magoli 500 tangu aanze kucheza soka la ushindani.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment