HELLOW!!! WELCOME THIS IS AMAxc THE GLOBAL MEDIA AND NEWS SUPPLIERS!!! amaxc.blogspot.com
Popular Posts
-
Duh hii ni aibu kwelikweli kuona msomi ambaye anategemewa kama kiongozi wa kesho kufanya mambo ya ajabu namna hii .. haya ni ...
-
Hii ni picha ya moja kati ya wanachuo msichana akiwa hosteli na ..demu huyo sio siri anawachanganya wengi chuo hapo ikiwemo ma lectur....
-
Mrembo mwenye ushawishi mkubwa zaidi kwenye social media hapa Bongo, ambaye alishawahi kujinyakulia taji kubwa zaidi la ulimbwende hapa Bon...
-
Ikiwa leo ndio Uchaguzi wabunge wa Viti Maalum Kupitia Chama cha Mapinduzi Nchini katika Mkoa wa Singida Mgombea Wema Sepe...
-
Hz n baadh ya pcha za shilole akiwa na boy wake!! wakiwa kweny mapoz ya mahab ***** { clik here to see the video wakiwa wanaoga ...
-
john pombe magufuli Edward Ngoyai Lowassa. Uchunguzi uliofanywa na Timu ya Uwazi Mizengwe hivi karibuni na kuihusisha mikoa yote ya Ta...
-
Mwanamke aliye bambwa na sungusungu akifanya mapenzi kwenye kichaka na dereva wa teksi.Richard Bukos na Issa Mnally Mwanam...
-
Hzi n baadhi ya pcha za mastaa tofauti w KIKE hapa tz . sio siri n balaa coz sometmes najiuliza ! do they ril care???? ? ...
-
Kutoka kutangaza kutafuta mume Instagram hadi kukiri kumpenda Uhuru Kenyatta, Ray C anaendelea kutengeneza vichwa vya habari Afrika Masharik...
-
Blogu ya Wananchi Wednesday, August 19, 2015 TUJIKUMBUSHE HABARI KAMILI YA KAMATI TEULE YA BUNGE YA RICHMOND TAARIFA HII HAPA LIVE YA MWAKA ...
Friday 25 September 2015
amaxc blog: Zinazotajwa kuwa sababu za Arsenal kuwakosa Edinson Cavani, Karim Benzema na Lewandowski zipo hapa
Michezo:
Zinazotajwa kuwa sababu za Arsenal kuwakosa Edinson Cavani, Karim Benzema na Lewandowski zipo hapa
Klabu ya soka ya Arsenal ilikuwa ikihusishwa kutaka kuwasajili wachezaji kadhaa katika dirisha la usajili lililofungwa mwezi August lakini haikufanikiwa na hatimaye ilifanikiwa kumsajili kipa wa zamani wa Chelsea Peter Cech kwa dau la pound milioni 10, miongoni mwa majina yaliyokuwa yakitajwa kutaka kusajiliwa na Arsenal ni Karim Benzema, Edinson Cavani na Robert Lewandowski.
Robert Lewandowski
September 24 stori kutoka mtandao wa express.co.uk umeandika chanzo cha Arsenal kuwakosa nyota hao, licha ya Robert Lewandowski kutopewa kipaumbele katika klabu yake ya FC Bayern Munich chini ya kocha Pep Guardiola, wakala wa mchezaji huyo Cezary Kucharski alithibitisha kuwa Lewandowski haipendi hali ya hewa ya Uingereza.
Karim-Benzema-celebrates--007
Karim Benzema
Karim Benzema alikuwa ni mmoja kati ya mastaa wa soka waliokuwa wakisakwa na Arsenal katika kipindi cha usajili cha mwezi August, kwani alikuwa akihusishwa kujiunga na Arsenal kwa dau la poundi milioni 40. Lakini nguli wa zamani wa klabu ya Arsenal Ian Wright alilaumu mipango ya Arsenal kwani kilichofanya Arsenal wamkose Benzema ni kutokwenda kufanya mazungumzo ya awali na mchezaji kwani kufanya hivyo Ian Wright ana amini ingesaidia. Ila amekiri kuumizwa na tweet ya Benzema ya kusema Real Madrid ni nyumbani.
Paris Saint-Germain's Uruguayan forward Edinson Cavani celebrates after scoring a goal during the French League Cup round of sixteen football match between Paris Saint-Germain (PSG) and Saint-Etienne (ASSE) on December 18, 2013 at the Parc des Princes stadium in Paris. AFP PHOTO / THOMAS SAMSON (Photo credit should read THOMAS SAMSON/AFP/Getty Images)
Edinson Cavani
Kwa upande wa Edinson Cavani licha ya picha ya yeye akiwa pamoja na kocha wa Arsenal Arsene Wenger kuvuja wakiwa Ufaransa, alinukuliwa kukiri kuhitajika na Wenger katika baadhi ya magazeti ya Ufaransa lakini amekuwa akiuhusishwa kujiunga na vilabu kadhaa katika dirisha la usajili la mwezi August lakini PSG ni mahali sahihi kwake na bado wanamuamini.
Wenger
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment