HELLOW!!! WELCOME THIS IS AMAxc THE GLOBAL MEDIA AND NEWS SUPPLIERS!!! amaxc.blogspot.com
Popular Posts
-
Duh hii ni aibu kwelikweli kuona msomi ambaye anategemewa kama kiongozi wa kesho kufanya mambo ya ajabu namna hii .. haya ni ...
-
Hii ni picha ya moja kati ya wanachuo msichana akiwa hosteli na ..demu huyo sio siri anawachanganya wengi chuo hapo ikiwemo ma lectur....
-
Mrembo mwenye ushawishi mkubwa zaidi kwenye social media hapa Bongo, ambaye alishawahi kujinyakulia taji kubwa zaidi la ulimbwende hapa Bon...
-
Ikiwa leo ndio Uchaguzi wabunge wa Viti Maalum Kupitia Chama cha Mapinduzi Nchini katika Mkoa wa Singida Mgombea Wema Sepe...
-
Hz n baadh ya pcha za shilole akiwa na boy wake!! wakiwa kweny mapoz ya mahab ***** { clik here to see the video wakiwa wanaoga ...
-
john pombe magufuli Edward Ngoyai Lowassa. Uchunguzi uliofanywa na Timu ya Uwazi Mizengwe hivi karibuni na kuihusisha mikoa yote ya Ta...
-
Mwanamke aliye bambwa na sungusungu akifanya mapenzi kwenye kichaka na dereva wa teksi.Richard Bukos na Issa Mnally Mwanam...
-
Hzi n baadhi ya pcha za mastaa tofauti w KIKE hapa tz . sio siri n balaa coz sometmes najiuliza ! do they ril care???? ? ...
-
Kutoka kutangaza kutafuta mume Instagram hadi kukiri kumpenda Uhuru Kenyatta, Ray C anaendelea kutengeneza vichwa vya habari Afrika Masharik...
-
Blogu ya Wananchi Wednesday, August 19, 2015 TUJIKUMBUSHE HABARI KAMILI YA KAMATI TEULE YA BUNGE YA RICHMOND TAARIFA HII HAPA LIVE YA MWAKA ...
Monday 21 September 2015
amaxc blog: sentensi sita(6) kutoka kweny twitter page za edward lowassa na john pombe!!!! jionee mwenyew
<b>Siasa:
Sentensi 6 kutoka kwenye Twitter page za Edward Lowassa na Dr. John Magufuli..
Mitandao ya kijamii imekua ikitumika sana pia wakati huu wa kampeni kueleka kwenye siku kubwa ya Wananchi kufanya maamuzi ya nani aichukue nchi hii kwenye awamu ya tano kama Rais ambapo vyama viwili vilivyobeba headlines za Urais kwa uzito vikiwa ni CCM na CHADEMA kwenye UKAWA.
Kingine ni kwamba vyama hivi vimeona umuhimu wa mitandao ya kijamii mpaka Wagombea wao kuwa na account za Twitter ambazo ni Verified yaani zimethibitishwa na Twitter wenyewe kwamba ni Account halali za Wanasiasa hawa.
Mpaka September 20 2015 page ya Twitter ya Edward Lowassa ilikua na Wafuasi zaidi ya elfu 21 na ya Dr. John Pombe Magufuli zaidi ya elfu 23 ambapo haya hapa chini ni mambo sita kutoka kwenye kila page.
Zifuatazo hapa chini ndio Tweets kutoka kwenye ukurasa wa John Pombe Magufuli
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment