HELLOW!!! WELCOME THIS IS AMAxc THE GLOBAL MEDIA AND NEWS SUPPLIERS!!! amaxc.blogspot.com
Popular Posts
-
Duh hii ni aibu kwelikweli kuona msomi ambaye anategemewa kama kiongozi wa kesho kufanya mambo ya ajabu namna hii .. haya ni ...
-
Hii ni picha ya moja kati ya wanachuo msichana akiwa hosteli na ..demu huyo sio siri anawachanganya wengi chuo hapo ikiwemo ma lectur....
-
Mrembo mwenye ushawishi mkubwa zaidi kwenye social media hapa Bongo, ambaye alishawahi kujinyakulia taji kubwa zaidi la ulimbwende hapa Bon...
-
Ikiwa leo ndio Uchaguzi wabunge wa Viti Maalum Kupitia Chama cha Mapinduzi Nchini katika Mkoa wa Singida Mgombea Wema Sepe...
-
Hz n baadh ya pcha za shilole akiwa na boy wake!! wakiwa kweny mapoz ya mahab ***** { clik here to see the video wakiwa wanaoga ...
-
john pombe magufuli Edward Ngoyai Lowassa. Uchunguzi uliofanywa na Timu ya Uwazi Mizengwe hivi karibuni na kuihusisha mikoa yote ya Ta...
-
Mwanamke aliye bambwa na sungusungu akifanya mapenzi kwenye kichaka na dereva wa teksi.Richard Bukos na Issa Mnally Mwanam...
-
Hzi n baadhi ya pcha za mastaa tofauti w KIKE hapa tz . sio siri n balaa coz sometmes najiuliza ! do they ril care???? ? ...
-
Kutoka kutangaza kutafuta mume Instagram hadi kukiri kumpenda Uhuru Kenyatta, Ray C anaendelea kutengeneza vichwa vya habari Afrika Masharik...
-
Blogu ya Wananchi Wednesday, August 19, 2015 TUJIKUMBUSHE HABARI KAMILI YA KAMATI TEULE YA BUNGE YA RICHMOND TAARIFA HII HAPA LIVE YA MWAKA ...
Thursday 17 September 2015
amaxc blog: je ilikupita hii!!! ya bondia aliye fariki dunia baada ya pambano kumalizika???? jionee sababuzzz
Michezo:!!
Taarifa ikufikie ya bondia kufariki baada ya pambano kumalizika..
Bondia Davey Browne ambaye ni raia wa Australia amepoteza maisha siku nne baada ya kupoteza fahamu kufuatia kipigo cha ‘knock out’ katika pambano la ngumi huko Sidney.
Mwanamasumbwi huyo mwenye miaka 28 alidondoka chini baada ya kupigwa na mpinzani wake Carlo Magali wa Ufilipino katika raundi ya 12 katika uzani wa super-featherweight ijumaa iliyopita.
Baada ya kupoteza fahamu alipelekwa hospitali katika chumba cha wagonjwa mahututi hadi mauti ilipomkuta
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment