HELLOW!!! WELCOME THIS IS AMAxc THE GLOBAL MEDIA AND NEWS SUPPLIERS!!! amaxc.blogspot.com
Popular Posts
-
Duh hii ni aibu kwelikweli kuona msomi ambaye anategemewa kama kiongozi wa kesho kufanya mambo ya ajabu namna hii .. haya ni ...
-
Hii ni picha ya moja kati ya wanachuo msichana akiwa hosteli na ..demu huyo sio siri anawachanganya wengi chuo hapo ikiwemo ma lectur....
-
Mrembo mwenye ushawishi mkubwa zaidi kwenye social media hapa Bongo, ambaye alishawahi kujinyakulia taji kubwa zaidi la ulimbwende hapa Bon...
-
Ikiwa leo ndio Uchaguzi wabunge wa Viti Maalum Kupitia Chama cha Mapinduzi Nchini katika Mkoa wa Singida Mgombea Wema Sepe...
-
Hz n baadh ya pcha za shilole akiwa na boy wake!! wakiwa kweny mapoz ya mahab ***** { clik here to see the video wakiwa wanaoga ...
-
john pombe magufuli Edward Ngoyai Lowassa. Uchunguzi uliofanywa na Timu ya Uwazi Mizengwe hivi karibuni na kuihusisha mikoa yote ya Ta...
-
Mwanamke aliye bambwa na sungusungu akifanya mapenzi kwenye kichaka na dereva wa teksi.Richard Bukos na Issa Mnally Mwanam...
-
Hzi n baadhi ya pcha za mastaa tofauti w KIKE hapa tz . sio siri n balaa coz sometmes najiuliza ! do they ril care???? ? ...
-
Kutoka kutangaza kutafuta mume Instagram hadi kukiri kumpenda Uhuru Kenyatta, Ray C anaendelea kutengeneza vichwa vya habari Afrika Masharik...
-
Blogu ya Wananchi Wednesday, August 19, 2015 TUJIKUMBUSHE HABARI KAMILI YA KAMATI TEULE YA BUNGE YA RICHMOND TAARIFA HII HAPA LIVE YA MWAKA ...
Sunday 20 September 2015
amaxc blog: taarifa ikufkie kuhusu beki wa man united ambaye alivunjika mguu!!!!! jioneeee liveeee
Michezo:
Taarifa mpya ikufikie kuhusu beki wa Man United aliyevunjika mguu (+Pichaz)
Beki wa klabu ya Manchester United mwenye umri wa miaka 20 Luke Shaw ambaye alivunjika mguu katika mechi ya Ligi ya mabingwa Ulaya dhidi ya klabu ya PSV Eindhoven ya Uholanzi, tayari amepata matibabu na kuthibitisha kurejea Manchester.
Luke Shaw ambaye alivunjika mguu dakika ya 15 ya mchezo baada ya kufanyiwa tackling na beki wa klabu ya PSV Eindhoven Hector Moreno, tukio lililopelekea kuvunjika mguu wake wa kulia na kupelekwa katika hospitali ya St Anna iliyopo Eindhoven Uholanzi, tayari amefanyiwa upasuaji na hali yake inaendelea vizuri.
Kupitia post aliyoweka katika account yake ya instagram Luke Shaw amewashukuru madaktari na wauguzi wa hospitali ya St Anna na kuthibitisha kuwa tayari kurejea Manchester licha ya kuwa atakuwa nje ya uwanja kwa muda wa miezi sita akiuguza jeraha lake la mguu. Luke Shaw amewasili Manchester mchana wa September 19 akitokea Eindhoven.
Luke Shawa akifanyiwa tackling na Hector Moreno tukio lililopelekea kuvunjika mguu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment