HELLOW!!! WELCOME THIS IS AMAxc THE GLOBAL MEDIA AND NEWS SUPPLIERS!!! amaxc.blogspot.com
Popular Posts
-
Duh hii ni aibu kwelikweli kuona msomi ambaye anategemewa kama kiongozi wa kesho kufanya mambo ya ajabu namna hii .. haya ni ...
-
Hii ni picha ya moja kati ya wanachuo msichana akiwa hosteli na ..demu huyo sio siri anawachanganya wengi chuo hapo ikiwemo ma lectur....
-
Mrembo mwenye ushawishi mkubwa zaidi kwenye social media hapa Bongo, ambaye alishawahi kujinyakulia taji kubwa zaidi la ulimbwende hapa Bon...
-
Ikiwa leo ndio Uchaguzi wabunge wa Viti Maalum Kupitia Chama cha Mapinduzi Nchini katika Mkoa wa Singida Mgombea Wema Sepe...
-
Hz n baadh ya pcha za shilole akiwa na boy wake!! wakiwa kweny mapoz ya mahab ***** { clik here to see the video wakiwa wanaoga ...
-
john pombe magufuli Edward Ngoyai Lowassa. Uchunguzi uliofanywa na Timu ya Uwazi Mizengwe hivi karibuni na kuihusisha mikoa yote ya Ta...
-
Mwanamke aliye bambwa na sungusungu akifanya mapenzi kwenye kichaka na dereva wa teksi.Richard Bukos na Issa Mnally Mwanam...
-
Hzi n baadhi ya pcha za mastaa tofauti w KIKE hapa tz . sio siri n balaa coz sometmes najiuliza ! do they ril care???? ? ...
-
Kutoka kutangaza kutafuta mume Instagram hadi kukiri kumpenda Uhuru Kenyatta, Ray C anaendelea kutengeneza vichwa vya habari Afrika Masharik...
-
Blogu ya Wananchi Wednesday, August 19, 2015 TUJIKUMBUSHE HABARI KAMILI YA KAMATI TEULE YA BUNGE YA RICHMOND TAARIFA HII HAPA LIVE YA MWAKA ...
Sunday 20 September 2015
amaxc blog: je unamkumbuka livaldo wa FC BARCELONA?? kafanyiwa upasuaji..jionee here liveee
Michezo:
Unamkumbuka Rivaldo wa FC Barcelona? Kafanyiwa upasuaji taarifa ipo hapa… (+Picha)
Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya FC Barcelona ya Hispania na timu ya taifa ya Brazil Rivaldo bado dunia ya soka ina mkumbuka kwa umahiri wake uwanjani lakini amewahi kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa Dunia Ballon d’or mwaka 1999. Mwaka 2004 aliingia katika list ya wachezaji bora 100 wa FIFA waliohai.
Rivaldo ambaye ni miongoni mwa wachezaji wa timu ya taifa ya Brazil waliotwaa Kombe la Dunia 2002, kwa sasa ni Rais wa klabu ya Mogi Mirim na amepost picha katika mtandao wa kijamii inayoonyesha amefanyiwa upasuaji wa goti lake la kulia, hivyo hiyo ni ishara ya kuwa upasuaji huo umefanyika kwa mafanikio.
Rivaldo na mtoto wake mwaka 2003
Hata hivyo licha ya Rivado kustaafu soka bado yupo mbadala wake yaani mwanaye Rivadinho amefuata nyayo za baba yake na anacheza soka, kuna wakati waliwahi kuingia katika headlines ya kucheza pamoja katika klabu ya Mogi Mirim na wote kufunga magoli. Rivaldo kwa sasa ana umri wa miaka 43.
Rivaldo wakati yupo FC Barcelona ya Hispania
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment