Popular Posts

Friday 18 September 2015

amaxc blog: pchazzz za jay z, beyonce na mtoto wao wakila bata kweny boti la kifahar zko hap.....

Entertainment: Pichaz za Jay Z, Beyonce na mtoto wao wakienjoy katika boti ya kifahari zipo hapa…
Jay Z na Beyonce ni miongoni mwa couple zenye nguvu zaidi, wasanii hao maarufu wamepigwa picha wakiwa na mtoto wao wa miaka 3 Blue Ivy katika boti ya kifahari ambayo inaitwa Galactica Star, gharama ya kukodi boti hiyo kwa wiki ni dola 900000 za kimarekani ambazo ni zaidi ya bilioni 1.9 za Kitanzania.
Mastaa hao walikodi boti hiyo wakiwa na sambamba na Kelly Rowland wakienjoy pamoja, hii inatajwa kama sehemu ya muendelezo wa kufurahia siku ya kuzaliwa ya Beyonce ambaye ametimiza miaka 34 mwezi September 4. Zimeonekana picha hizo za Jay Z na Beyonce wakiwa Sardinia Italia.

No comments:

Post a Comment