
huyu n jamaa flan hv!! ambaye pichan anaonekana kazma yan kapoteza network!! na pemben yake n baadh ya raia walio shuhudia tukio zima!! wanadai kuwa mshkaji alizama kweny hyo ndinga akiwa na dada mmoja hv!!! ...and baada ya muda kupita ndo hayo ..unayo yaona mtu wangu!!! so kaa nao mbali...
hawafai...
No comments:
Post a Comment